Crown ni six cylinders babaa ila kwenye kuchanganya mapema subaru ipo juu mno sidhani kama mtu wa crown anaweza kumwacha subaru foresta kiurahisi.
Kwa mfano Subaru WRX ST manual transmission na crown hapo mwenye crown atapata taabu sana
hata mimi forester naikibali hii....ile ingine kama wameiga escudo au rav 4Hata mimi nimeshindwa kuzielewa foresta za 2008 zinataka kufanana na RAV4 nahisi toleo zuri la foresta ni kuanzia 2003,04,05View attachment 1052933View attachment 1052933
Huyo jamaa naona hajui kabisa mambo ya magari toka lini subaru haina mafundi wa kuitengeza pia spare parts za subaru zipo nyingi kuanzia Dar hadi arusha zipo kibao tu..
Subaru,Nissan,honda,Suzuki,Mitsubishi hawana spare za kubahatisha kama TOYOTA
Subaru forester, ya 2006/8
Ina around 270BHP
Bei yake ni kati ya 18.5m n.k
Unaweza kuagiza kupitia kampuni yetu kutoka kampuni yeyote ile uipendayo
kwa malipo ya awamu awamu ya hadi miezi 7
Unalipia, 13,875,000
Gari inaletwa, unakabidhiwa
4,625,000 unamalizia kwa instalment
Yaani kila mwezi
661,000
Bila riba.
Instalment zinaanza mwezi mmoja baada ya kukabidhiwa gari lako.
Karibu
Linganisha na Subaru husika, amna inayogusa moto wa Crown. Labda hio engine iekewe ma turbo kama yoteCrown ni six cylinders babaa ila kwenye kuchanganya mapema subaru ipo juu mno sidhani kama mtu wa crown anaweza kumwacha subaru foresta kiurahisi.
Kwa mfano Subaru WRX ST manual transmission na crown hapo mwenye crown atapata taabu sana
Kama ni mm hapo sina chaguo kabisaaa yote ni Luxury Car hayo. Hakuna gari ya kazi hapo. Subaru Engine yake ikizingua huwa hairudi Kama Zamani. Pia Spare Zake zipo Juu sanaaa. Na KIBONGO BONGO Hakuna Mafundi Wazuri wa Subaru.
Ndio mzee,
Jaribu hapa mtaa wa Livingstone kariakoo utapata au utawauliza wauzaji spare watakupa direction
Hata mimi nimeshindwa kuzielewa foresta za 2008 zinataka kufanana na RAV4 nahisi toleo zuri la foresta ni kuanzia 2003,04,05View attachment 1052933View attachment 1052933
173 @6000 rpm horsepower
Wakuu polen na majukumu!!
Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3...
ushauri huo naomba ulenge kwenye
>>> ulaji wa mafuta
>>>gharama za vipuri
>>>uimara wa gari
>>>upatikanaji wa mafundi wa kuaminika
NB: MATUMIZI YA GARI YATAKUA NI OFF-ROAD KIDOGO
ASANTENI SANA!!
Niongope ili iweje?we jamaa uko sure?
Hahah na kama ni non-turbo sijui mtu anainunua ili iweje mkuu.Subaru kama haina Turbo ni mchumba tu. Niliitafuna moja kipande unakaribia Kabuku kama nakunywa maji.
Ulikuwa unatumia gari gani??Subaru kama haina Turbo ni mchumba tu. Niliitafuna moja kipande unakaribia Kabuku kama nakunywa maji.
Mafundi wamejaa kibao, na forestar ni gari ya kazi ukilinganisha na hizo alizotaja hapo (3 series na x3) vilevile spea za kumwaga na unapata kitu OG, na engine inatulia tuKama ni mm hapo sina chaguo kabisaaa yote ni Luxury Car hayo. Hakuna gari ya kazi hapo. Subaru Engine yake ikizingua huwa hairudi Kama Zamani. Pia Spare Zake zipo Juu sanaaa. Na KIBONGO BONGO Hakuna Mafundi Wazuri wa Subaru.
Naanza kushawishika...Kwa yenye turbo inafanana karibu kila kitu na matoleo ya subaru za zamani za kuanzia 2002,03,04,05,06, na 07.
Isipokuwa haya matoleo ya 08,09 na 10 yameongeza ukubwa wa ndani ni comfortable na imenyanyuliwa juu ili kukidhi soko la ulaya na marekani....
Kwangu mimi nayazimia sana matoleo ya zamani kuliko hili la kwenye pichaView attachment 1067420