Msaada wa Subaru Forester au BMW 3 SERIES, X3

Crown ni six cylinders babaa ila kwenye kuchanganya mapema subaru ipo juu mno sidhani kama mtu wa crown anaweza kumwacha subaru foresta kiurahisi.
Kwa mfano Subaru WRX ST manual transmission na crown hapo mwenye crown atapata taabu sana

Moto wa WRX STI huyo crown na V6 yake anaachwa amesimama hata V8 pale inapigwa bao tu.

STI sio ya mchezo kabisaa tena ikiwa moded balaa lake sio la nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subaru forester, ya 2006/8

Ina around 270BHP


Bei yake ni kati ya 18.5m n.k

Unaweza kuagiza kupitia kampuni yetu kutoka kampuni yeyote ile uipendayo
kwa malipo ya awamu awamu ya hadi miezi 7

Unalipia, 13,875,000
Gari inaletwa, unakabidhiwa
4,625,000 unamalizia kwa instalment
Yaani kila mwezi
661,000

Bila riba.

Instalment zinaanza mwezi mmoja baada ya kukabidhiwa gari lako.


Karibu

mkuu una agiza spare part za magari pia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Crown ni six cylinders babaa ila kwenye kuchanganya mapema subaru ipo juu mno sidhani kama mtu wa crown anaweza kumwacha subaru foresta kiurahisi.
Kwa mfano Subaru WRX ST manual transmission na crown hapo mwenye crown atapata taabu sana
Linganisha na Subaru husika, amna inayogusa moto wa Crown. Labda hio engine iekewe ma turbo kama yote
 
Kama ni mm hapo sina chaguo kabisaaa yote ni Luxury Car hayo. Hakuna gari ya kazi hapo. Subaru Engine yake ikizingua huwa hairudi Kama Zamani. Pia Spare Zake zipo Juu sanaaa. Na KIBONGO BONGO Hakuna Mafundi Wazuri wa Subaru.



Subaru ni all wether kaka hiyo engine mpaka uiue umefanya kaz


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
chukua Fozzy Sg9 (forester Sg9)
Wakuu polen na majukumu!!

Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3...
ushauri huo naomba ulenge kwenye
>>> ulaji wa mafuta
>>>gharama za vipuri
>>>uimara wa gari
>>>upatikanaji wa mafundi wa kuaminika

NB: MATUMIZI YA GARI YATAKUA NI OFF-ROAD KIDOGO

ASANTENI SANA!!
 
Iv wakuu mbona sijawaiona subaru forester manual 2004na zinginezo hapa tz zaidi ni fatilia naona kenya afu bai yake ni kubwa sana inafika 40m kama ipo manual yenye bai ndogo tupeane elimu nimmoja wapo naependa subaru pia nandoto ya kumiliki
 
Kama ni mm hapo sina chaguo kabisaaa yote ni Luxury Car hayo. Hakuna gari ya kazi hapo. Subaru Engine yake ikizingua huwa hairudi Kama Zamani. Pia Spare Zake zipo Juu sanaaa. Na KIBONGO BONGO Hakuna Mafundi Wazuri wa Subaru.
Mafundi wamejaa kibao, na forestar ni gari ya kazi ukilinganisha na hizo alizotaja hapo (3 series na x3) vilevile spea za kumwaga na unapata kitu OG, na engine inatulia tu
 
Kwa yenye turbo inafanana karibu kila kitu na matoleo ya subaru za zamani za kuanzia 2002,03,04,05,06, na 07.
Isipokuwa haya matoleo ya 08,09 na 10 yameongeza ukubwa wa ndani ni comfortable na imenyanyuliwa juu ili kukidhi soko la ulaya na marekani....

Kwangu mimi nayazimia sana matoleo ya zamani kuliko hili la kwenye pichaView attachment 1067420
Naanza kushawishika...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom