Habari wana jamii forum natumaini wengi wenu ni wazima, naomba mnisaidie nataka kununua simu ya sumsung ya laki 5 au 6, ambayo inakaa na charge siku nzima ninatumia sumsung galax j7 prime nimeichoka lkn ni nzima na inatunza moto vizuri tu, sasa naomba mwrnyekujua simu inayotunza moto hasa series za s, mfano sumsung galax s6 edge plus naipenda siries hizo ipi bora kwa charge na camera
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app