Msaada wa Shule ya Secondary ya Kulipia

Kite Munganga

Platinum Member
Nov 19, 2006
1,773
952
Nina mtoto wa ndugu yangu ambaye nilitegemea atachaguliwa kujiunga na shule za serikali lakini imekuwa sivyo, sasa naomba kujulishwa kuwa ni wapi naweza pata shule ya secondary ya kulipia, na taratibu za kujiunga inakuwaje si mbaya nikipata hata contact adress/mobile za shule husika, ningependelea zaidi shule iwe ya Boarding tafadhalini msaada wenu ni muhimu
 
Nina mtoto wa ndugu yangu ambaye nilitegemea atachaguliwa kujiunga na shule za serikali lakini imekuwa sivyo, sasa naomba kujulishwa kuwa ni wapi naweza pata shule ya secondary ya kulipia, na taratibu za kujiunga inakuwaje si mbaya nikipata hata contact adress/mobile za shule husika, ningependelea zaidi shule iwe ya Boarding tafadhalini msaada wenu ni muhimu

kama alikua ndani ya div1-3 lazima atachaguliwa kama ni form v au chuo cha ufundi.kama hajaona jina lake fatilia hata wizarani,safari hii wamechagua watoto wote walio ndani na grade hizo.mimi ndugu yangu wamempangia shule mbili tofauti.

na kuhusu shule nzuri ya boarding inategemea na uwezo wako kifedha na pia mahitaji yako kwa nduguyo eidha unataka shule yenye maadili ya kidini nk.au ya kike tu sio ya mchanganyiko.zipo nyingi. i ll be back soon.
 
kama alikua ndani ya div1-3 lazima atachaguliwa kama ni form v au chuo cha ufundi.kama hajaona jina lake fatilia hata wizarani,safari hii wamechagua watoto wote walio ndani na grade hizo.mimi ndugu yangu wamempangia shule mbili tofauti.

na kuhusu shule nzuri ya boarding inategemea na uwezo wako kifedha na pia mahitaji yako kwa nduguyo eidha unataka shule yenye maadili ya kidini nk.au ya kike tu sio ya mchanganyiko.zipo nyingi. i ll be back soon.

Nashukuru kwa kunipa moyo, na labda niwe muwazi kidogo, kijana huyu alipata division Three (III) ya point 25 matokeo ni kama ifuatavyo
CIV-C, HIST-D, GEO-D, KISW-D, ENGL-D, PHY-D, CHEM-C, BIO-D, B/MATH-C,

Ukweli ningependa shule ya Boarding ya kiwango cha kati
 
Nina mtoto wa ndugu yangu ambaye nilitegemea atachaguliwa kujiunga na shule za serikali lakini imekuwa sivyo, sasa naomba kujulishwa kuwa ni wapi naweza pata shule ya secondary ya kulipia, na taratibu za kujiunga inakuwaje si mbaya nikipata hata contact adress/mobile za shule husika, ningependelea zaidi shule iwe ya Boarding tafadhalini msaada wenu ni muhimu
META SEKONDARI SKUU
ipo jijini Mbeya
ni shule nzuri sana kwa sasa
hamna wahuni kama miaka ya 2000
kurudi nyuma, so mpleke pale
 
Nashukuru kwa kunipa moyo, na labda niwe muwazi kidogo, kijana huyu alipata division Three (III) ya point 25 matokeo ni kama ifuatavyo
CIV-C, HIST-D, GEO-D, KISW-D, ENGL-D, PHY-D, CHEM-C, BIO-D, B/MATH-C,

Ukweli ningependa shule ya Boarding ya kiwango cha kati

Kwa hizi marks mbona hata srikalini anawezakupata kabisa, labda fuatilia wizarani watampangia tu, kwa ninavyojua si wote waliopangiwa form five wataenda kuripoti shule za serikali, Labda kama uwezo wako wakipesa ni mzuri basi mpeleke private. Ila angalia na historia ya shule kama huwa inafaulisha au la, ila kwa Alevel hata shule za serikali ni nzuri tu manake kinachomatter ni jitihada ya mtoto na pia zinamuandaa mtoto vizuri kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu manake atajifunza kutafuta material mwenyewe badala ya kuwa spoon feeded kwenye shule za private hasa zinazofaulisha sana.

At the end inaweza kumsumbua mbeleni. Shule za serikali ni nzuri ila zile zilizoko mjini (miji mikubwa ndo walimu wanapatikana) kama ni ya kata usilogwe manake utakuwa unapalilia zero ya form six
 
Nashukuru kwa kunipa moyo, na labda niwe muwazi kidogo, kijana huyu alipata division Three (III) ya point 25 matokeo ni kama ifuatavyo
CIV-C, HIST-D, GEO-D, KISW-D, ENGL-D, PHY-D, CHEM-C, BIO-D, B/MATH-C,

Ukweli ningependa shule ya Boarding ya kiwango cha kati

Hajapata PCM??? Umecheki matokeo?
 
Kwa hizi marks mbona hata srikalini anawezakupata kabisa, labda fuatilia wizarani watampangia tu, kwa ninavyojua si wote waliopangiwa form five wataenda kuripoti shule za serikali, Labda kama uwezo wako wakipesa ni mzuri basi mpeleke private. Ila angalia na historia ya shule kama huwa inafaulisha au la, ila kwa Alevel hata shule za serikali ni nzuri tu manake kinachomatter ni jitihada ya mtoto na pia zinamuandaa mtoto vizuri kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu manake atajifunza kutafuta material mwenyewe badala ya kuwa spoon feeded kwenye shule za private hasa zinazofaulisha sana.

At the end inaweza kumsumbua mbeleni. Shule za serikali ni nzuri ila zile zilizoko mjini (miji mikubwa ndo walimu wanapatikana) kama ni ya kata usilogwe manake utakuwa unapalilia zero ya form six


Asante kwa ushauri wako uliotulia
 
Hajapata PCM??? Umecheki matokeo?


Hajapata ndugu yangu, Matokeo nimelikosa jina lake na naogopa wasije mpangia aende ualimu wa Shule za Kata kwani wanaukata mkubwa wa walimu au CCU Moshi kwani nasikia wanaandaa watu wa 2015 kwa nguvu kubwa,
 
Wanduguzi mwenzenu bado naomba msaada wa shule

Hii list inaweza saidia? ila hakuna namaba za simu zao

CATHOLIC CHURCH OWNED/MANAGED SECONDARY SCHOOLS
AS PER MARCH 2002


See performance of the Catholic Schools 1997 - 1999

See performance of the Catholic Schools 1997 - 2001


NO
NAME OF SCHOOL & ADDRESS
DIOCESE
FORM
A-LEVEL COMBINATION
STATUS
1.
Arusha Catholic Seminary
P.O. Box 3102 Arusha
ARUSHA

I - VI

HGL, Divinity

Board boys
2.
Usa Seminary
P.O. Box 60 USA-RIVER

"

V - VI

HLE, HEM, Div.

Board boys
3.
Ngarenaro Girls Sec. Sch
P.O. Box 8032 Arusha

"

I - VI

HGL, HKL

Board girls
4.
Edmund Rice Simon Sec. Sch
P.O. Box 7131 Arusha

"

O - L



Co-Day
5.
Sekei Sec. Sch
P.O. Box 3044 Arusha

"

O - L


Co-Day
6.
Rubya Seminary Sec. Sch.
P.O. Box 246 Bukoba

BUKOBA

I - VI

HGK, PGM

Board boys
7.
Hekima Girls Sec. Sch
P.O. Box 1817 Bukoba

"

O - L



Board girls
8.
Kishogo Sec. Sch
P.O. Private Bag – Bukoba

"

O - L


Co-Day
9.
Humura Sec. Sch
P.O. Private Bag, Bukoba

"

O-L



Co-Day
10.
St. Marys' Visiga Sem. Sec. Sch P.O. Box 167 D"Salaam

D'SALAAM

O - L

Board
11.
Loyola High School
P.O. Box 9533 D'Salaam

"

I - VI
PCB, PCM, ECA, HGL

Co-Day
12.
St. Anthony Mbagala Sec. Sch
P.O. Box 7490 D'Salaam

"

I - VI
HGE, PGM, PCB, PCM,HGL, BAM, CBG, Acct. Commerce, French

Co-Day
13.
Bihawana Sem. Sec. Sch
P.O. Box 34 Dodoma

DODOMA

O - L



Board boys
14.
Salesian Sem. Sec. Sch
P.O. Box 3035 Dodoma

"

V - VI
HGL, PCB, PCM
Educ. Divinity

Co-Day
15.
Sengerema Sem. Sec. Sch
P.O. Box 120 Geita

GEITA

O - L


Board
16.
Consolata Sem. Sec. Sch
P.O. Box 297 Mafinga

IRINGA

I - VI
HGL, (PGM)
PCB, CBG, PCM

Board
17.
Don Bosco Sem. Sec. Sch
P.O. Box 220 Mafinga

"

O - L


Board
18.
Mafinga Sem. Sec. Sch
P.O. Box 19 Mafinga

"

I - VI
PCB, HGL, PCM

Board



19.
Cagliero Girls Sec. Sch
P.O. Box 930 Iringa

"

O - L



Board
20.
Montfort Sec. Sch
P.O. Box 82, Rujewa

"

O - L


Co-Board/
Hostel/Day
21.
Kahama Sec. Sch
P.O. Box 386, Kahama

KAHAMA

O-L

Co-Hostel and Day
22
Newman's Kihinga Sec. Sch
P.O. Box 71 Kigoma

KIGOMA

V - VI
EGM, HGE, HGL, Divinity

Board boys
23.
Ujiji Sem. Sec. Sch
P.O. Box 583 Ujiji

"

O - L


Board boys
24.
Boni Councilii Mabamba Girls
P.O. Box 2036 Mabamba

"

I - VI
HGL, HGE
Div. (2002/3)

Board girls
25.
St. Thomas More Kibogora P.O. Box 11, KIBONDO
"
I - IV
CO-ED
Board
(New 2002)
26.
St. Francis of Asisi Kasumo
P.O. Box 25 KASULU
"
I - IV
CO-ED
Board & Day
(New 2002)
27.
St. Mathias Mulumba-Yanda
P.O. Box 71 KASULU
"
I - IV
CO-ED
Board & Day
28.
Kasita Sem. Sec. Sch
P.O. Box 103 Mahenge

MAHENGE

I - VI
HGL, CBG,& PCB

Board
29.
Regina Mundi Girls Sec. Sch
(New 99) Box 101
Mahenge – Ulanga


"


I - VI

(Not yet reached)


Board
30
St. Agnes Girls Sec.
P.O. Box 101 Mahenge

"

I - IV

Board (Newly opened ) 2002
31
Namupa Sem. Sec. Sch
P.O. Box 1002 Lindi

LINDI

I - VI

PCB, PCM

Board
32.
St. Mary's Sem. Mbalizi Sec
P.O. Box 179 Mbeya

MBEYA

O - L



Board
33.
Igawilo Sec. Sch
P.O. Box 179 Mbeya

"

I - VI

HGL, Divinity
Co-Board and Day
34.
Irambo Sec. Sch
P.O. Box 1774 Mbeya

"

I - VI

HGL

"
35.
St. Francis' Girls Sec. Sch
P.O. Box 924 Mbeya

"

O - L



Board
36.
Kamsamba Sec. Sch
P.O. Box

"

O - L



Co-Day
37.
Ngana Sec. Sch
P.O. Box 497 Kyela

"

O - L


Co-Board and Day
38
Pandahill Sec. School
P.O. Box 4961

"

I - VI


Boarding
39.
Sanu Sem. Sec. Sch
P.O. Box 157 Mbulu

MBULU

I - VI
HGL (TTC Diploma) Div.

Board


40.
Imboru Sec. Sch
P.O. Box 25 Mbulu

"

I -VI


Co-Board and Day
41.
Endarofta Sec. Sch
P.O. Box 65 Karatu

"

O - L



"
42.
Madunga Sec. Sch
P.O. Box 266 Babati-Arusha

"

O - L


"
43.
Singe Sec. Sch
P.O. Box 77 Babati – Arusha

MBULU

I - VI
HGK, HGL, Div.
Co-board
and Day
44.
Likonde Sem. Sec. Sch
P.O. 17 Peramiho

MBINGA

I- –VI

HGK

Board
45.
St. Luise Girls Sec. Sch
P.O. Box 506 Mbinga

"

O- L


Board
46.
St. Peters' Sem. Sec. Sch
P.O. Box 758 Morogoro

MOROGORO

I - VI

HGE, EGM

Board
47
St. Francis' De Sale
Jun. Sem. Sec. Box 12 Kihonda

"

I - VI

HGL, Divinity

Board
48.
Marian Girls Sec. Sch (New 97) P.O. Box 63 Bagamoyo

"

0 – L


Girls Board
49.
Bigwa Srs. Sec. Sch
P.O. Box 369 Morogoro

"

I – VI

HGL

"
50.
Kigurunyembe Sec. Sch
P.O. Box 677 Morogoro

"

I –VI
HGL, EGM,
ECA, Divinity

Co-Day
51.
Askofu Mkoba Sec. Sch
P.O. Box 640 Morogoro

"

O – L


Co-Day
52
Msolwa Sec. Sch
P.O. Box 63 Mikumi

"

I – VI
HGL, PCB,CBG

Co-Board
53
St. Ann Sec. Sch
P.O. Box 640 Morogoro

"

O - L


Board Girls
54.
Maua Sem. Sec. Sch
P.O. Box 3093 Moshi

MOSHI

I - VI
EGM, HGL
HGE , Divinity

Board boys
55
St. James Sem. Sec. Sch
P.O. Box 1927 Moshi

"

I - VI
HGE, EGM, Divinity

"
56
Uru Sem. Sec. Sch
P.O. Box 3941 Moshi

"

I - VI
EGM, HGE
Divinity

"
57
Kibosho Girls Sec. Sch
P.O. Box 3041 Moshi

"

I - VI
HGK,HGL,
COMM, Div

Board girls
58.
Kilimanjaro Sec. Sch
P.O. Box 34 Mkuu Rombo

"

I - VI
EGM, HGL,
COMM, Div
Day-girls
Board boys
59.
Kiraeni Girls Sec. Sch
P.O. Box 200 Mkuu Rombo

"

I - VI
HGL, HGK, COMM, Div

Board
60.
Kirua Sec. Sch
P.O. Box 1551 Moshi

"

O - L



Co-Day


61.
Kishumundu Sec. Sch
P.O. Box 105 Moshi

"

O - L


Co-Day
62.
Kisomachi Sec. Sch
P.O. Box 901 Moshi

"

O-L

Co-Board and Day
63.
Lombeta Sec. Sch
P.O. Box 1953 Moshi

MOSHI

O - L

Co-Board and Day
64.
Majengo Sec. Sch
P.O. Box 1091 Moshi

"

I - VI
HGL, PCM, ECA,EGM,COMM

Co-Day
65.
Marangu Sec. Sch
P.O. Box 217 Marangu

"

O - L

Co-Board and Day
66.
Mlama Sec. Sch
P.O Box 2055 Moshi

"

O - L

Co-Board and Day
67.
Mrike Sec. Sch
P.O. Box 183 Mkuu Rombo

"

O - L

Co-Board and Day
68.
St. Mary Goretti Sec. Sch
P.O. Box 925 Moshi (New 99)

"

O - L

Co-Both Board/Day
69.
Narumu Sec. Sch
P.O. Box 3041 Moshi

"

O - L

Co-Board and Day
70.
Nsoo Sec. Sch
P.O. Box 8053 Moshi

"

O - L


Co-Board
and Day
71
Olaleni Sec. Sch
P.O. Box 67 HimoMoshi

"

O - L

Co-Board
and Day
72.
Sangiti Sec. Sch
P.O. Box 696 Moshi

"

O - L

Co-Board
and Day
73.
Ungwasi Sec. Sch
P.O. Box 191 Mkuu Rombo

"

O - L

Co-Board
and Day
74.
Uomboni Sec. Sch
P.O. Box 361 Marangu/ Moshi

"

O - L

Co-Board
and-Day
75.
Uru Sec. Sch
P.O. Box 1521 Moshi

"

O - L

Co-Board
and Day
76.
Usseri Sec. Sech
P.O. Box 3041 Usseri/Rombo

"

O - L

Co-Board
and Day
77
Visitation Girls (New 2000)
P.O. Box 3041 Moshi

"

I - VI

Not reached

Board
78
Mtwara Srs. Sec. Sch
P.O. Box 526 Mtwara

MTWARA

I - VI
HGL, Divin.

Board
79
Makoko Sem. Sec. Sch
P.O. Box 283 Musoma

MUSOMA

I - VI
EGM,
HGE Divinity

Board boys
80.
Kowak Girls Sec. Sch
P.O. Box 89 Tarime

"

I - VI

HGL

Board girls
81.
Masonga Sec. Sch
P.O. Box 29 Shiratu

"

O - L




82.
Mwembeni Sec. Sch
P.O. Box 213 Musoma

"

I -VI

ECA


83.
Nyegina Sec. Sch
P.O. Box 93 Musoma

"

O - L

Co-Board
and Day
84.
Nyegezi Sem. Sec. Sch
P.O. Box 960 Mwanza

MWANZA

I - VI
HGL, PGM,
Divinity
Board boys
85.
St. Joseph's Girls Sem. Sch
(Eliufoo) Box 1421 Mwanza

MWANZA

O - L


Board girls
86
Murutunguru Sec. Sch
P.O. Box 1421 Mwanza

"

O - L


Board
87.
Loreto Girls Sec. Sch (New 98) P.O. Box 1421 Mwanza

"

I - VI
Not yet reached

Board girls
88.
Bukumbi Girls Sec. Sch
P.O. Box 1421 Mwanza

"

O- L


Board
89.
Sumve Girls Sec. Sch
P.O. Box 1421 Mwanza

"

O- L


Board
90.
Kagunguli Girls Sec. Sch
P.O. Box 1421 Mwanza

"

O - L


Board
91.
St. Joseph Sem Kilocha Sec
(New 99) Box 54 Njombe

NJOMBE

I - VI


Board
92.
Katoke Sem. Sec. Sch
P.O. Box 31 Biharamulo

RULENGE

I - VI

HGL, Divinity

Board boys
93.
Rulenge Sec. Sch
P.O. Box 36 Rulenge

"

O - L


94
Kaisho Sec. Sch
P.O. Box 103 Karagwe

"

O – L


95.
Nyabiyonza Sec. Sch
P.O. Box 74 Karagwe

"

O – L


96.
Rwambaizi Sec. Sch
P.O. Box 5 Karagwe-Kagera

"

O – L


97.
Same (Chanjale) Sem. Sec
P.O. Box 191 Mwanga

SAME

I - VI
HGE, EGM, Divinity
Co-Board boys
98.
Kilomeni Sec. Sch
P.O. Box 23 Kilomeni

"

O – L

Co-Board
and Day
99.
Kindoroko Sec. Sch
P.O. Box 196/214 Mwanga

"

O- L

Co-Board
and Day
100
Mwamapalala Sec.Sch
Box 388 Bariadi/S'nyanga

S'NYANGA

O - L

Co-Board
and Day
101.
Buhangija Sec. Sch
P.O. Box 374 S'nyanga

"

I –VI
ECA,EGM,
Div. Islamic
Co-Day
102
Don Bosco Sec. Sch
P.O. Box 47 S'nyanga

"

O – L


103
Dung'unyi Sem. Sec. Sch
P.O. Box 275 Singida

SINGIDA

V - VI

HGK

Board boys
104
Pallotti Siuyu Sec. Sch
P.O. Box 964 Singida

"

I – VI


Board girls


105
Murigha Girls Sec-Sch
P.O. Box 470, Singida

"

O – L


Boarding
106.
St. Carolus Sec-Sch
P.O. Box 940 Singida

"

O – L
Comm and
Science

Co-Board
107
Hanga Sem. Sec. Sch
P.O. Box 217 Songea

SONGEA

O – L


Board
108.
Stella Matut. Lighono Sem
P.O. Box 426 Songea

"

I – VI

Not reached

"
109
St. Agnes Sec. Sch. (Chipole) P.O. Box 25 Peramiho

SONGEA

O- L


Board girls
110.
Peramiho Girls Sec. Sch
P.O. Box 21 Peramiho

"

I – VI
HGL, EGM,
Divinity

Board
111
St. Benedict Sec. Sch
P.O. Box 673 Songea

"

O - L

Co-Board
and Day
112.
Kaengesa Sem. Sec. Sch
P.O. Box 34 Laela

S'WANGA

I – VI

HGE, EGM

Board
113.
Laela Sec. Sch
P.O. Box 1 Laela

"

O - L

Board/Day
Co- Educ
114.
St. Maurus Chemcheni Sec-Sch P.O. Box 591 S'Wanga


I - VI
HGL, HGK, ECA
Co-Day
Hostel Girls
115.
Itaga Sem. Sec. Sch
P.O. Box 494 Tabora

TABORA

I - VI
HGL, HGE,
(EGM), PGM, PCB , Divinity

Board boys
116.
Mihayo Sec. Sch
Private Bag, Tabora

"

O – L



117.
Uchama Sec. Sch
P.O. Box 190 Nzega

"

O – L


118
St. Tomas Aquinas Sec. Sch
"
O - L

Co/Boys/Girls
119.
Soni Sem. Sec.Sch
P.O. Box 34 Soni

TANGA

I - VI



Board
120.
Kifungilo Girls Sec. Sch
P.O. Box 37 Lushoto

"

I - VI

HGL, Divinity

"
121.
St. Mary's Mazinde Juu Sec
P.O. Box 90 Lushoto

"

I - VI
HGL, PCB,
CBN, CBG

"
122
Kongei Sec. Sch
P.O. Box 61 Tanga


O - L


Co-Day
123
Saruji Sec. Schools
P.O. Box 396

'

O - L


Co-Day

Compiled by:
 
Naombeni namba za simu za uchama secondari nzega za mwalimu headmaster au secretary nina shida nazo msaada jaman
 
Back
Top Bottom