Kuna maelezo ya muhimu sana bado yanahitajika ili uweze kusaidiwa....nini kilikusababisha u install windows upya? Cd unayotumia ni original? hazina scratch? zinafanana keys? na kwa nini iishia kati wakati unaformat mara ya kwanza....ulizima? ilizima yenyewe? iligoma tu kuendelea? ilileta error gani kabla ya kugoma kuendelea?
toa maelezo ya kutosha mkuu ili usaidiwe...la sivyo unaweza pewa ARV badala ya panadol!!