Msaada wa ndugu Samsung s6 Not registered on NETWORK

Msaada wa ndugu Samsung s6 Not registered on NETWORK

Joined
Aug 6, 2014
Posts
39
Reaction score
3
Nina-Samsung Galaxy S6 g920F baada ya ku upgrade OS kutoka 6.1 hadi 7.0, kwakutumia Odin3, network Inasumbua inaniambi NOT REGISTERED ON NETWORK, simu hazitoki, yaani hata salio siweziuliza.
20180530_213146.jpg
 
Tuanzie hapa, Piga *#0011# kisha post screenshot. Ni quote ili niione reply yako.
 
Sikukwambia kwamba hiyo ni solution, nilikwambia uandike hiyo namba ili nione certificate status katika hiyo simu yako. Rudia tena alafu usikate, tuma picha ya kitakachoonekana au angalia kama cert ni pass au NG
Ni kwamba nikibonyeza hzo code ina pop up hyo hyo dialog NOT REGISTERED ON NETWORK
 
IMEI number imefeli hapo Mkuu, tazama IMEI namba nyuma ya simu kisha piga *#06# utazame je zinaringana?

Hapo hakuna cha mbadala zaidi ya kununua certfile ambayo utapata IMEI nyingine genuine ya simu yako.
 
Ni kwamba nikibonyeza hzo code ina pop up hyo hyo dialog NOT REGISTERED ON NETWORK

Hizo codes hazihitaji msaada wowote wa network mpaka zikudai uwe registered kwenye mtandao itakuwa unakosea kuziandika.
Ila kwakuwa umeshindwa hicho nahisi msaada wangu utakuwa umeishia hapo. Wasubirie wengine au ipeleke kwa mtaalamu wa mambo hayo.
 
IMEI number imefeli hapo Mkuu, tazama IMEI namba nyuma ya simu kisha piga *#06# utazame je zinaringana?

Hapo hakuna cha mbadala zaidi ya kununua certfile ambayo utapata IMEI nyingine genuine ya simu yako.
Daah! S6 g920f nazinginezo hajiandikwa IMEI kwenye kwa nje , ila kwa ndani hii IMEI ni
1527716374401.jpg
 
Je kwenye box la simu hawajaandika pia ama kwenye receipt?
 
IMEI number imefeli hapo Mkuu, tazama IMEI namba nyuma ya simu kisha piga *#06# utazame je zinaringana?

Hapo hakuna cha mbadala zaidi ya kununua certfile ambayo utapata IMEI nyingine genuine ya simu yako.
Samsung hizi hazijaandikwa IMEI Kwanje ila kwa ndani ipo
1527716374401.jpg
 
Hizo codes hazihitaji msaada wowote wa network mpaka zikudai uwe registered kwenye mtandao itakuwa unakosea kuziandika.
Ila kwakuwa umeshindwa hicho nahisi msaada wangu utakuwa umeishia hapo. Wasubirie wengine au ipeleke kwa mtaalamu wa mambo hayo.
Hapo hana namna zaidi ya kwenda kwa mtaalamu wa kucheza na hizo IMEI, ataambiwa tu anunue certfile ambayo hata mimi namshauri iwe hivyo maana hili tatizo lilinotokea tangu mwaka jana.

Na aliyenisaidia ni MwanaJf humu humu na Jukwaa hilihili.
 
IMEI number imefeli hapo Mkuu, tazama IMEI namba nyuma ya simu kisha piga *#06# utazame je zinaringana?

Hapo hakuna cha mbadala zaidi ya kununua certfile ambayo utapata IMEI nyingine genuine ya simu yako.
Okey! Naje nikitaka kufanya hvyo, yaan kununua sasa nafanyaje...?
 
eti daah! pole mkuu, kama una utundu kuna jamaa anapush izo cert file ebay kwa usd 20, anakurushia ndani ya dk 10 unarekebisha na octopus box mchezo unaisha

Anunue na box la Octoplus sio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom