Msaada wa namna ya kujua simu original za Tecno

Msaada wa namna ya kujua simu original za Tecno

kifimbodo

Senior Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
151
Reaction score
73
Wana jf naamini humu kuna kila aina ya watalaam wa simu hivyo naombeni mfanihamishe ni namna gani naweza gundua kuwa aina fulani ya simu ya Tecno ni original na fake. Asanteni kwa kunipa ushirikiano
 
Sidhani kitu kama ichi kipo kweli .
Labda tusubiri kwengine
 
Simu na betri za tecno original za tecno hebu google tecno genuine kuna web utakayoipata fuata maelekezo kuna no zipo kwenye simu ukiziingiza wanakuambia kama ni original
 
Bonyeza nyota kisha reli halafu 06 halafu malizia na reli. Hesabu zile namba na kama tarakimu ya saba itakuwa ni ''0'' Hiyo ni original kabisa.
 
kwahiyo hata c5 nayotumia ni kimeo?-???€?-???€?-???€?-???€
 
Wana jf naamini humu kuna kila aina ya watalaam wa simu hivyo naombeni mfanihamishe ni namna gani naweza gundua kuwa aina fulani ya simu ya Tecno ni original na fake. Asanteni kwa kunipa ushirikiano
Tecno Simu zao Org.na awatatoa tena ni phantom min.na A7.
 
Hakuna simu original ya Tecno kwanza hilo kampuni ni la kichinese so zote ni michina fake
 
Aise tecno kwa mtazamo wangu mi naona zote ni mbovu... ubora wake ni wa kiwango cha chini sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom