Msaada wa mwenye email ya Rais

Msaada wa mwenye email ya Rais

sima salva official

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2017
Posts
210
Reaction score
90
Msaada wana jf nahitaji kumtumia e mail mh. Rais mwenye nayo anisaidie maana nimechoka na haya mambo yanayofanywa na watu wachache ambao hawajali watu wengine tafadhari mnisaidie
 
Msaada wana jf nahitaji kumtumia e mail mh. Rais mwenye nayo anisaidie maana nimechoka na haya mambo yanayofanywa na watu wachache ambao hawajali watu wengine tafadhari mnisaidie
Chukua gari za kutoka hapo ulipo... Nenda hadi ubungo... Alafu chukua daladala ziendazo magogoni....

Email ya mh.Rais huwezi ipata humu...

Fata ushauri wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom