MSAADA WA MAWE YA MZANI

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
1,986
Reaction score
3,151
Heshima kwenu!
Nina mzani ule wa kukalisha mazao/bidhaa wakati wa kupima lakini mawe yake yamepotea pamoja na kile kisanduku kinachopitishwa kwenye rula, ningependa kujua kwa anayejua bei ya mawe pamoja na hicho kisanduku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…