Msaada wa mawazo

Msaada wa mawazo

heriedo

Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
45
Reaction score
7
WanaJF msaidieni binti huyu kwa mawazo yenu.

Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto.

Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto.

Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu.

Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno.

Ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
Wanajf [size=+2]msaidien binti huyu[/size] kwa mawazo yenu. Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto. Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto. Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu. [size=+2]Nashindwa kumuelewa maana kipato changu[/size]size ni kidogo mno. Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Ukitaka kudanganya inabidi uwe na kumbukumbu nzuri!
 
kuna mashirika yanatetea haki za mama na mtoto ambavyo endapo baba akiwa haeleweki huwa wanamuita na matokeo ni huwa kama ana mshahara basi nusu ya mshahara wake hupitia kwenye hilo shirika na mama anaenda kuchukua hela huko kwenye hilo shirika!!!!!!!!!! ngoja nikumbuke procedure za kufata na hayo mashirika!!!!:typing:
 
ningekuwa mie ningefanya kazi zaidi kuongeza kipato, ningedelete namba ya baba mtoto.
 
Ukitaka kudanganya inabidi uwe na kumbukumbu nzuri!

sijaona alichojichanganya ila kashindwa kujieleza vizuri, mimi nilichomuelewa ni kwamba kwa sasa yeye anamsaidia huyo binti ila kipato chake ni kidogo kiasi kwamba anahitaji msaada jinsi ya kujipunguzia mzigo ukizingatia huyo binti anaye mume ambaye ndo mhusika mkuu wa mtoto!!!!
 
sijaona alichojichanganya ila kashindwa kujieleza vizuri, mimi nilichomuelewa ni kwamba kwa sasa yeye anamsaidia huyo binti ila kipato chake ni kidogo kiasi kwamba anahitaji msaada jinsi ya kujipunguzia mzigo ukizingatia huyo binti anaye mume ambaye ndo mhusika mkuu wa mtoto!!!!

Poa mkuu!
 
Wanajf msaidien binti huyu kwa mawazo yenu. Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto. Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto. Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu. Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno. Ingekuwa wewe ungefanyaje?
Huwezi kulea bila msaada wa huyo sperm donor?
 
ningekuwa mie ningefanya kazi zaidi kuongeza kipato, ningedelete namba ya baba mtoto.

Ni wajibu wa baba kumlea mtoto kwani ameshiriki kumleta duniani. Akina baba hupenda sana dezo wanasubiri mtoto akisha kuwa na kazi nzuri ndiyo kimbelembele kujipeleka oooh mwanangu nisaidie hiki, nisaidie kile, loh!

Mpeleke haraka kwa ustawi wa jamii au kokote kule ambapo utapata haki za kumlea mtoto ili na yeye aone raha ya kuleta viumbe duniani na kuwashughulikia ipasavyo.
 
Jamani,uyo mwanaume atafutwe popote atoe matumiz ya mtoto...anavizia vizia mtoto akue aanze kudai dam yake looo.tabia mbaya sana..hata kama unakipato kidog changia kidog tuu mungu atakuongezea kuliko kukimbia ndo maana laana na mikosiitakua ikimuandama kila kukicha
 
Nguvu unayotumia kumpeleka, ungeshazaliwa pesa mara 5 ya utakayoipata kwa baba huyo. Hivi unajua kwa sheria za tanzania mtoto asiye wa ndoa ana haki ya kuhudumiwa sh.ngapi kwa mwezi na baba yake?

Kwa hiyo kama ulimlea peka yako, hutaki amsaidie baba yake sababu ana penda dezo? Wewe wote unaowasaidia walitoa hela za matunzo yako utotoni?

Ugomvi wa nyie wazazi msiwarithishe watoto, kama mlishindwana kwenye malezi ni ya kwenu, mtoto ana haki ya kusaidia yeyote amtakaye bila kujali nyie wazazi mlimtunza.

Ni wajibu wa baba kumlea mtoto kwani ameshiriki kumleta duniani. Akina baba hupenda sana dezo wanasubiri mtoto akisha kuwa na kazi nzuri ndiyo kimbelembele kujipeleka oooh mwanangu nisaidie hiki, nisaidie kile, loh!

Mpeleke haraka kwa ustawi wa jamii au kokote kule ambapo utapata haki za kumlea mtoto ili na yeye aone raha ya kuleta viumbe duniani na kuwashughulikia ipasavyo.
 
Back
Top Bottom