WanaJF msaidieni binti huyu kwa mawazo yenu.
Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto.
Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto.
Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu.
Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?
Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto.
Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto.
Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu.
Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?