ni wanaume tu eeeeeeh
Miaka 3 ofisini nmetia mimba wafanyakazi wenzangu 4,imagine mpk nkistaafu itakuwaje.
Sa ndo umetutenga !!
me afta miaka 3 nna kiwanja na pia shamba la heka tano hukoooo pwani nalima mananasi nk navuna afta 2 yrs
Miaka 3 ofisini nmetia mimba wafanyakazi wenzangu 4,imagine mpk nkistaafu itakuwaje.
me afta miaka 3 nna kiwanja na pia shamba la heka tano hukoooo pwani nalima mananasi nk navuna afta 2 yrs
Nice question mkuu..
Naomba unisaidie kuniitia mume wangu
Miaka 3 ofisini nmetia mimba wafanyakazi wenzangu 4,imagine mpk nkistaafu itakuwaje.
hahahahahhaa hapo bado utakaowazaa ndani ya ndoa una udugu na mkulu nadhani