kamaliza combination gani mkuu? tukijua inaweza saidia sanawakuu nawasalimu! Nna mdogo wangu wa kike amemaliza kidato cha sita na kufauulu vizuri,ni degree program gani ajiunge ili iwe rahisi kwake kupata kazi kati ya hizi? Human resouces management,makerting&enterprewship na microfinance! Nawakilisha.
mwambie aombe bcom finance au marketing au human resource mlimani zipoamesoma hge mkuu!!!!