MSAADA WA MAWAZO.

e2n

JF-Expert Member
Dec 24, 2015
637
793
Nawasalimu wana jf wote na poleni kwa Nazi.

Mm nikijana mzalendo na ninaetafuta njia za kutoka kimaisha. Kwa professional mm no mwalimu WA primary Ila natamani sana kumiliki shule yangu Ila mtaji wa kuanzishia sina hivyo naomba ushauli wenu ninaweza kuganyaje ili nifikie malengo yangu.


Na katika hilo swala LA shule ninauzoefu kidogo niliwahi kufungua kashule ka chekechea( Awali) Ila haikuwa imesajiliwa ikafungwa sasa natamani nije kufungua ambayovitakuwa kihalali Ila ndo mtaji sina.



Naombeni ushauri ndugu zangu au hata kama utakuwa unafahamu shirika ambalo linaweza nisaidia ukinipa msaada nitashukuru sana.

Nipo mkoa WA pwani wilaya ya rufiji.

Karibuni.
 
Nawasalimu wana jf wote na poleni kwa Nazi.

Mm nikijana mzalendo na ninaetafuta njia za kutoka kimaisha. Kwa professional mm no mwalimu WA primary Ila natamani sana kumiliki shule yangu Ila mtaji wa kuanzishia sina hivyo naomba ushauli wenu ninaweza kuganyaje ili nifikie malengo yangu.


Na katika hilo swala LA shule ninauzoefu kidogo niliwahi kufungua kashule ka chekechea( Awali) Ila haikuwa imesajiliwa ikafungwa sasa natamani nije kufungua ambayovitakuwa kihalali Ila ndo mtaji sina.
Ulikuwa umeanza vizuri ila Tatizo kubwa ulishindwa kubadilika - Kurasimisha shughuli zako, Anza upya tena - Fungua Chekechea au Tuition Center na ukiona ni Promising kidogo - Sajili, Tafuta Mkopo + Akiba yako au Partner then Panua kwa Ujenzi na kuongeza Primary then Utakuja Sec. mpaka vyuo ukitaka na ukimaliza bongo unaenda mpaka abroad. Kuwa na subira and Start Small usitake uanze siku hiyo hiyo shule yako iwe kama " Feza Schools "
 
Ulikuwa umeanza vizuri ila Tatizo kubwa ulishindwa kubadilika - Kurasimisha shughuli zako, Anza upya tena - Fungua Chekechea au Tuition Center na ukiona ni Promising kidogo - Sajili, Tafuta Mkopo + Akiba yako au Partner then Panua kwa Ujenzi na kuongeza Primary then Utakuja Sec. mpaka vyuo ukitaka na ukimaliza bongo unaenda mpaka abroad. Kuwa na subira and Start Small usitake uanze siku hiyo hiyo shule yako iwe kama " Feza Schools "
Asante MKUU kwa mchango wako mzuri
 
Back
Top Bottom