Msaada wa mawazo

Msaada wa mawazo

Invigilator

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
3,219
Reaction score
6,080
Salaam ndg zangu,
Jaman naomba kusaidiwa hivi ni course gani ya (Masters) iliyo marketable anayoweza soma MTU aliye na first degree ya Elim(BAED)
Note:ZILIZO NDANI YA FIELD YA EDUCATION AU HATA NJE YA HIYO FIELD.
Karibun kwa mawazo watu wangu naona huu ualim tumepishana akili tayari,nime graduate Mwaka huu UDSM - COHU,nisaidie nataka niendelee niuteme mbaliii ualimu...
 
ikifika mahali mpaka ukaomba msaada wa mawazo basi hali ni mbaya kweli kweli, labda nahisi unachohitaji ni masaada wa muongozo sahiii wakuuchukua kabla haujafanya maamuzi
 
ikifika mahali mpaka ukaomba msaada wa mawazo basi hali ni mbaya kweli kweli, labda nahisi unachohitaji ni masaada wa muongozo sahiii wakuuchukua kabla haujafanya maamuzi
Sipo mbali na wew Mkuu kwel nimeamua sitak ualim,nipe Muongozo ikiwa unaweza!!.
 
ikifika mahali mpaka ukaomba msaada wa mawazo basi hali ni mbaya kweli kweli, labda nahisi unachohitaji ni masaada wa muongozo sahiii wakuuchukua kabla haujafanya maamuzi
amebaha....
 
Unajua jaman hadi MTU anaamua kuleta Uzi hum si MWENDAWAZIMU,ninajua ninachokitafuta,sasa wew unapoamua kuleta UPUUZI nashindwa kuelewa kiwango cha akil yako,kama huna la kunisaidia pita kimya,sio kujaza UJINGA,heri nipate COMMENT mbili tu zitakazonisaidia kuliko 100 za kipuuzi,ova!!..
 
Usiboreke na comment za kukuumiza moyo cha msingi simamia malengo yako,, na matamanio yako chanya unayoyataka katika maisha yako kuwa na msimamo na utekelezaji chanya kila dakika isipite bure bila kupata ufumbuzi wa jambo linalokusumbua kichwa.
 
Usiboreke na comment za kukuumiza moyo cha msingi simamia malengo yako,, na matamanio yako chanya unayoyataka katika maisha yako kuwa na msimamo na utekelezaji chanya kila dakika isipite bure bila kupata ufumbuzi wa jambo linalokusumbua kichwa.
Ahsante sana Mkuu M.Mng akubariki sana,unajua kaka kuna watu tunakuja humu kwa issue serious kabisa tukijua tutapata Ideas za kutujenga,lakin mwishon MTU anakudisappoint kabisa,MTU unabaki njia panda,ahsante bwana!!!..
 
Me nawaza mass communication and journalism inaweza kua poa sana.....media zimekua nyingi mnoo...jarbu huko kaka
 
Maisha sikuzote ni kujua unachokitaka. Ukiwa na uhakika na unachokitaka utatafuta jinsi ya kukipata. Ushauri wa kukupa cha kwenda kusomea utakuwa bla.bla tu kama hauna picha ya unachokitaka kwenye gurudumu lako la maisha.
Ukisha jua unataka kufanya nn au kuwa nani katika kila agle ya maisha hautaitaji msaada wa kuambiwa ukasomehe nini.
 
Maisha sikuzote ni kujua unachokitaka. Ukiwa na uhakika na unachokitaka utatafuta jinsi ya kukipata. Ushauri wa kukupa cha kwenda kusomea utakuwa bla.bla tu kama hauna picha ya unachokitaka kwenye gurudumu lako la maisha.
Ukisha jua unataka kufanya nn au kuwa nani katika kila agle ya maisha hautaitaji msaada wa kuambiwa ukasomehe nini.
Ahsante gmallo:
 
Back
Top Bottom