Kuna mdada ninae takribani mwaka wa tatu huu, kikukweli mimi ndo nilimtoa usichana wake na nilimuaidi kumuoa.
Niliogopa sana kuacha kumuoa maana niliisi ni dhambi, ila kaishia la saba ata message kwenye simu yaani ua anaandika ovyo ovyo, sizani kama wengine au wanaelewa.
Msichana ni black beauty, karembo flan iv ua kana macho flani ivi eh, yko mkoa X kwa ndugu yake na mimi uo mkoa ndipo nilipo, na tumekua tukiongea sana ila mazungumzo yamekata.
Kiukweli nilitaka kumuoa, ila demu kaishia la saba kama hanidanganyi ika inaonekana sizani kama ata shule alienda na kazariwa 1999, ila nilimwambia nmuendeleze kielimu walau awe na ka cheti ka fani yoyote ata kama hatapata ajira.
Ila amekataa kata kata, na mimi kiukweli siwezi kabisa kuoa demu kaishia la 7, saivi tuna wiki hatuwasliani, anatuma message na kupiga simu, sijibu wala spokei.
Ata kama ni mapenzi ika kuna sehemu, lazima mtateleza tu, kusoma hataki anataka kuolewa, mimi nimefail ata kama ni mapenzi wazee, na wana tabia unaweza kusomesha na akakukimbia io sawa, utalipwa mbeleni, ila mimi nmeamua nmuache, ata nkimuita tena, ntamdanganya tu, ntalala nae ika kumuoa nmegoma ila stamwambia.
labda wazo lmuijie ghafla akubali kusoma.


