Vijana kuanzia watano mwisho kumi mkizidi hapo itakuwa fujo. Umri wa vijana ni kuanzia 18 mwisho 35, usawa wa jinsia haizuii kufanya mkakosa ila kama mnaweza wawepo. Unaweza mkachanganya wakinamama hawaangaliwi umri hawa.
Vingi sana lakini inategemeana pia na halmashauri uliyopo kwa huko na uwaledi wa mkurugenzi wenu, afisa maendeleo ya jamii wilaya na madiwani wenu wa huko