Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,456
- 1,685
Heshima kwenu wakuu...dogo langu aliapply chuo cha uhasibu Arusha njiro ngazi ya cheti kwenye IT...kwenye kuripoti ikaonekna chuo walisahau kuingiza jina lake wakati wanatuma majina tamiseni...
Sasa ni week ofisi ya usajili inaniambia kuna shida ya network saver ya Tamiseni so wanshindwa kuongeza majina ya wanafinzi waliosauliwa kutumwa majina yao..
Je kuna ukweli kuhusu hili? Ni njia gani nitumie kujua ukweli katika hili kwani dogo anasifa kabisa za kujiunga na chuo ngazi ya cheti...Je niendelee kusubiri kama wanavyoniambia au nianze kutafuta chuo kingine wakuu? Naombeni ushairi wenu kwenye hili!
Sasa ni week ofisi ya usajili inaniambia kuna shida ya network saver ya Tamiseni so wanshindwa kuongeza majina ya wanafinzi waliosauliwa kutumwa majina yao..
Je kuna ukweli kuhusu hili? Ni njia gani nitumie kujua ukweli katika hili kwani dogo anasifa kabisa za kujiunga na chuo ngazi ya cheti...Je niendelee kusubiri kama wanavyoniambia au nianze kutafuta chuo kingine wakuu? Naombeni ushairi wenu kwenye hili!