Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

Mimi ninayo nimetumia mwaka sasa haija wahi kusumbua na hela niliyo nunulia ilisha rudi
Printa yangu L800 ina tatizo la kutoa mistari ktk picha, unawezaje kutatua hili tatizo? nimeshajaribu kila njia kuclean head, nozzle na kila njia. Nisaidie
 
Nawatakia pasaka njemaaa....!
Naomba ushauli nataka kufungua photo studio ya kawaida kabisa sasa sijuinianzie wapi na sijui vifaa vyakevina ghalimu pesa ngapi naomba msaada wa mawazo na akili iliniweza kufanikisha hilo.asanteni

mkuu umeishia wapi?
 
Nina Uzoefu Wa Hizo Kazi 3 Yearz
Tools Zinazohitajika
1. Camera {kwa uzoefu wangu Tafuta Canon Eos 7D, au 5D Au DSLR YOYOTE. Hapa Utapata Picha Yenye Autofocus Kubwa Na Clear}

2. Utahitaji Photo Printer {Kama Huko Vizur Chukua Kubwa Za 30M Lakin Pia Utahitaji Printer Ndogo Kwa Ajil Ya Express Services! Au Ndogo Za Epson L800! Hiz Ni Econom Hazitumii wino mwingi! Na Pia Ni Ngumu}

3. Studio Lighting Tool
Kwa Indoor Hapa Utahitaji Taa Za Studio Kawaida Auto Ambazo zinadetect Mwanga Zenyewe! Utahitaji Reflector Kwa Classic Photograph Hii Itatumika Hata Outdoor! Pia Utahitaji Umbrella Photo Lighting Kwa Indoor Shots. External Flash! Kwa Ajil Ya Kukupa Mwanza Safi Katika Outdoor Shot. Usisahau Background. Ingawaje PS imerahisisha Now Days

4. Photo Editing Software
Kwa Ulimwengu Wa Sasa Editing Software Ni Kitu Cha Muhimu Hapa Napendekeza Adobe Photoshop CS5! Photoshine! Na Photoscape.

4. Photo Materials
Hapa Namaanisha Photo Frame! Bahasha! Mikasi! Make Up Tools!

5. Storage Devices
Kila Kaz Unayofanya Lazima Uhifadh! Ingawaje Utakuwa Na Editing Computer Usisahau Kutenga External Hard Disk Za 1TB Kwa Usalama zaid wa Kumbukumbu za wateja.

6. Scanner
Hii Ni Kitu Muhimu Sana Na Pesa Ipo Hapa Kwan Watu Weng Wanakuja Na Picha Zao Za Zaman Kutaka Zitolewe Upya! Nying Za Marehemu.

Vipo Ving Mkuu Ila Kama Utahitaji Mpiga Picha Nipo Hapa Mkuu Sina Dili!!
0786143441


mkuu shukrani kwa ufafanuzi hii CANON EOS 7D unamaanisha canon mark2 au ni ipi? maaa nime google CANON EOS 7D nimeletewa list ya CANON EOS 7D Mark2... na ipi bora kati ya hiyo CANON EOS 7D na NIKON D40? ni vipi kuhusu lens? unaweza kunipa uzoefu lens ipi ni bora kununua?
 
mnakosea kufananisha mark 2 na nikoni d 40..mark 2 ni toleo la karibuni wakati iyo d 40 ni toleo la zamani fananisha nikon d 5100 au d 7000 nikon na na izo mark2 au 3..izo d 40,60,80 na 90 waliacha kutengeneza wameingia katika d 3000 na kuendelea..
 
mkuu hii CANON EOS 7D unamaanisha canon mark2 au ni ipi? maaa nime google CANON EOS 7D nimeletewa CANON EOS 7D Mark2
mnakosea kufananisha mark 2 na nikoni d 40..mark 2 ni toleo la karibuni wakati iyo d 40 ni toleo la zamani fananisha nikon d 5100 au d 7000 nikon na na izo mark2 au 3..izo d 40,60,80 na 90 waliacha kutengeneza wameingia katika d 3000 na kuendelea..

shukrani kwa uafanuzi ndugu..vipi unaweza kushare uzoefu wako kwenye lensi/
 
kalagabaho lens ya kuanzia 18mm ndio ina uwezo wa kuchukua tukio la karibu kwa umbali wa kuanzia izo mm tajwa na hata kupiga still picha au passport size unatumia lens ya 18mm izo za 70 na kuendelea ni matukio ya mbali kama mbugani au kurekodi mpira..
 
55mm mpaka 110mm inategemeana na shughuli unayotaka kuitumia wewe izo mm hazihusiani na uimara au ubora..ntakapikua karibu na izo lens ntakupa ufafanunuzi kwa maandishi..wewe unataka kutumia katika shughuli gani..
 
55mm mpaka 110mm inategemeana na shughuli unayotaka kuitumia wewe izo mm hazihusiani na uimara au ubora..ntakapikua karibu na izo lens ntakupa ufafanunuzi kwa maandishi..wewe unataka kutumia katika shughuli gani..

ok nimekuelewa ndugu
 
55mm mpaka 110mm inategemeana na shughuli unayotaka kuitumia wewe izo mm hazihusiani na uimara au ubora..ntakapikua karibu na izo lens ntakupa ufafanunuzi kwa maandishi..wewe unataka kutumia katika shughuli gani..

shukrani.. nataka kwa ajili ya photo studio na kukodi mkuu
 
Nawatakia pasaka njemaaa....!
Naomba ushauli nataka kufungua photo studio ya kawaida kabisa sasa sijuinianzie wapi na sijui vifaa vyakevina ghalimu pesa ngapi naomba msaada wa mawazo na akili iliniweza kufanikisha hilo.asanteni

kaka nachasudwa umeishia wapi njoo utupe mrejesho
 
Nafarijika sana kupitia JF.Nasaidika kwa namna nyingi sana.kupitia JF napata ushauri,najua mambo mengi lkn pia kupata mwemko wa kupiga hatua za kimaendeleo.
 
Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao;

1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M

2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M

3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda Tsh 1.2M

4. COMPUTER Naweza Weka Tsh 350K Ila Hutegemea Na Mahitaj Yako

5. STORAGE DEVICE ukipata External Ya 1TB Itatosha Hapa Naweka 150k

6. SCANNER hapa Naweka 200k Ila Pia Hutegemea

7. SOFTWARES hapa Naweka 30k Ya Bundle Tu Na Download Zote.

Hivyo Hapo Mkuu Mwanapropaganda


mkuu za masiku?.. hebu niambie hizi Scanner za EPSON V370 una uzoefu nazo? au ushauri wako scanner aina gani zinafaa zaidi
 
Back
Top Bottom