Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

Hapana sina uzoefu nayo lakin kwa maelezo ya wadau huko juu inaweza fanyika vizuri tu. Ili mradi uwe na msimamizi mzuri.
 
JE ZILE CAMERA ZA KUSHOOT KWENYE SHEREHE ZINAAPATIKANAJE NA JE LENSI YAKE IKOJE?

NA KAMERA ZA KUSHOOT LABDA MOVIE, KWAYA, AU CHOCHOTE KILE ZIKO AINA GANI NA ZIPI NZURI KWA SHUGHULI HIZO? NISAIDIENI WADAU WANAOJUA HAPA
 
Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao;

1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M

2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M

3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda Tsh 1.2M

4. COMPUTER Naweza Weka Tsh 350K Ila Hutegemea Na Mahitaj Yako

5. STORAGE DEVICE ukipata External Ya 1TB Itatosha Hapa Naweka 150k

6. SCANNER hapa Naweka 200k Ila Pia Hutegemea

7. SOFTWARES hapa Naweka 30k Ya Bundle Tu Na Download Zote.

Hivyo Hapo Mkuu Mwanapropaganda

MKUU UMEMALIZA KILA KITU...TUPIAMO MAWASILIANO YAKO UPANDE WA PM ILI NIKUTANE NA WEWE NA KUJADILI KWA KINA JUU YA UENDESHAJI ILI NIANZE UWEKEZAJI.
 
JE ZILE CAMERA ZA KUSHOOT KWENYE SHEREHE ZINAAPATIKANAJE NA JE LENSI YAKE IKOJE?

NA KAMERA ZA KUSHOOT LABDA MOVIE, KWAYA, AU CHOCHOTE KILE ZIKO AINA GANI NA ZIPI NZURI KWA SHUGHULI HIZO? NISAIDIENI WADAU WANAOJUA HAPA

Ukipata canon 600 d itasaidia au kama bajeti yako ipo vizuri unaweza kununua canon 5d mark3
 
Nina Uzoefu Wa Hizo Kazi 3 Yearz
Tools Zinazohitajika
1. Camera {kwa uzoefu wangu Tafuta Canon Eos 7D, au 5D Au DSLR YOYOTE. Hapa Utapata Picha Yenye Autofocus Kubwa Na Clear}

2. Utahitaji Photo Printer {Kama Huko Vizur Chukua Kubwa Za 30M Lakin Pia Utahitaji Printer Ndogo Kwa Ajil Ya Express Services! Au Ndogo Za Epson L800! Hiz Ni Econom Hazitumii wino mwingi! Na Pia Ni Ngumu}

3. Studio Lighting Tool
Kwa Indoor Hapa Utahitaji Taa Za Studio Kawaida Auto Ambazo zinadetect Mwanga Zenyewe! Utahitaji Reflector Kwa Classic Photograph Hii Itatumika Hata Outdoor! Pia Utahitaji Umbrella Photo Lighting Kwa Indoor Shots. External Flash! Kwa Ajil Ya Kukupa Mwanza Safi Katika Outdoor Shot. Usisahau Background. Ingawaje PS imerahisisha Now Days

4. Photo Editing Software
Kwa Ulimwengu Wa Sasa Editing Software Ni Kitu Cha Muhimu Hapa Napendekeza Adobe Photoshop CS5! Photoshine! Na Photoscape.

4. Photo Materials
Hapa Namaanisha Photo Frame! Bahasha! Mikasi! Make Up Tools!

5. Storage Devices
Kila Kaz Unayofanya Lazima Uhifadh! Ingawaje Utakuwa Na Editing Computer Usisahau Kutenga External Hard Disk Za 1TB Kwa Usalama zaid wa Kumbukumbu za wateja.

6. Scanner
Hii Ni Kitu Muhimu Sana Na Pesa Ipo Hapa Kwan Watu Weng Wanakuja Na Picha Zao Za Zaman Kutaka Zitolewe Upya! Nying Za Marehemu.

Vipo Ving Mkuu Ila Kama Utahitaji Mpiga Picha Nipo Hapa Mkuu Sina Dili!!
0786143441
Uko vizuri
 
Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao;

1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M

2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M

3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda Tsh 1.2M

4. COMPUTER Naweza Weka Tsh 350K Ila Hutegemea Na Mahitaj Yako

5. STORAGE DEVICE ukipata External Ya 1TB Itatosha Hapa Naweka 150k

6. SCANNER hapa Naweka 200k Ila Pia Hutegemea

7. SOFTWARES hapa Naweka 30k Ya Bundle Tu Na Download Zote.

Hivyo Hapo Mkuu Mwanapropaganda

Hii ni kama photo point pale mlimani city?
 
Kama kuna wataalam wa kupiga picha aina zote;
Aina gani ya camera ni nzuri kwenye sanaa hii?
Bei yake ikoje
Jinsi ya kuiendesha biashara hii
 
Kupiga picha ni kitu kimoja ila muonekano wa picha ni kitu kingine,wengi ni wapiga picha ila sio watengeneza muonekano wa picha,tafuta vitabu vya kujifunza upigaji picha wa weledi,soma rangi na mchanganyiko wa rangi,halafu chagua kada moja ambayo utaifanya kuwa nembo yako,mfano mpiga picha za harusi,photoshoot,nature na kadhalika hakikisha ni za kiwango kizuri fungua akaunti kwenye mitandao ya kijamii kama instagram,Pinterest,Facebook,Hookt,Flick nakadhalika anza kutangaza uniqueness yako utajulikana na utakuwa vizuri,japo sio process ya wiki au miezi 2,...Kila kazi inalipa na kazi ya kipaji chako huwa inalipa zaidi japo huwa kama ujasiriamali hulipa kulingana na jitihada na ukuaji wake.
asante mkuu nimekuelewa sana
 
Wakuu habari zenu,
Nimeamua kudaka fursa ya kupiga picha za kisasa ambazo zimepata umaarufu mkubwa hasa kutokana na wimbi la ongezeko kubwa la matumizi ya mitandao ya kijamii na maendeleo ya teknolojia.

Nimenunua nyenzo kadhaa za kazi yangu tarajiwa kama vile computer kwa ajili ya photo editing na bajeti ipo kwa ajili ya vifaa vinginevyo.
Kwa wataalamu na wazoefu wa kazi hizo humu ndani, naomba msaada wa ushauri ninunue camera gani ambayo itafaa zaidi kwa bajeti ya laki 8 na nusu [iwe ni DSLR] kwa ajili ya upigaji picha.

Pia naomba kufahamishwa program nzuri za photoshop za kutumia kwa ajili ya photo editing. Na Kama kuna mtu anauza DSLR camera nzuri na kwa bei tajwa hapo juu tunaweza kufanya biashara.
Natanguliza ahsante kwa michango yenu.
NB: mimi sio pro photographer, bado najifunza...
 
Camera nzuri kwa bajeti ya laki nane?? Hebu kua serious kidogo mkuu.
Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona entry level DSLR ambazo hazizidi dola 450 hivyo Naamini hata ikiwa used mwaka 1 kwa bei hiyo(850k) naweza bahatika hapa bongo .

Ni kwa kuanzia tuu mkuu mambo yakikaa vyema nitachukua camera nzuri na ya kisasa zaidi.
 
Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona entry level DSLR ambazo hazizidi dola 450 hivyo Naamini hata ikiwa used mwaka 1 kwa bei hiyo(850k) naweza bahatika hapa bongo .

Ni kwa kuanzia tuu mkuu mambo yakikaa vyema nitachukua camera nzuri na ya kisasa zaidi.
wabongo wengi hawana ufahamu sana na DSLR zipo kupatana bei hizo japo hutapata mpya kabisa na model ya karibuni ila utapata. kuwa makini na hao jamaa ambao hawana namba za Tz ni matapeli,

search keyword hizi dslr, nikon, canon, utazipata tu

pia angalia uwezekano wa kuagizishia nje kwa budget hio unapata dslr nzuri tu, zipo za around dola 400
 
Back
Top Bottom