Msaada wana JF, nahitaji kuwasiliana na mama Justa Mwaituka, mkurugenzi wa KIWOHEDE, nimemjaribu namba na email add iliyopo kwenye website ya taasisi lakini vyote imeshndikana, email imebounce back, namba naambiwa haitumiki kwa sasa.
Kama unayo pls nisaidie, ni suala la kikazi!
Kama unayo pls nisaidie, ni suala la kikazi!