Msaada wa matibabu ya mgongo

kibenten

JF-Expert Member
Mar 12, 2018
499
507
Mimi ni kijana tu ila nasumbuliwa na maumivu ya mgongo,, maumivu haya hutokea pale ambapo nimekaa mda mrefu kwenye kiti (3hrs+) pia pale ambapo nimesimama mda mrefu (1hr+) kiasi kwamba ukitoka hapo huwezi hata kuinama.

Nimevumilia kwa miezi zaidi xa mitatu bila kutumia dawa yoyote juzi kati nikanunua za kuchua lkn hadi nimamaliza dozi hakuna matokeo mazuri.

Naombeni anajua dawa yoyote anijuze.
 
MUNGU ni suluhisho la tatizo lako
Mimi ni kijana tu ila nasumbuliwa na maumivu ya mgongo,, maumivu haya hutokea pale ambapo nimekaa mda mrefu kwenye kiti (3hrs+) pia pale ambapo nimesimama mda mrefu (1hr+) kiasi kwamba ukitoka hapo huwezi hata kuinama.
Nimevumilia kwa miezi zaidi xa mitatu bila kutumia dawa yoyote juzi kati nikanunua za kuchua lkn hadi nimamaliza dozi hakuna matokeo mazuri.

Naombeni anajua dawa yoyote anijuze.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom