kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 507
Mimi ni kijana tu ila nasumbuliwa na maumivu ya mgongo,, maumivu haya hutokea pale ambapo nimekaa mda mrefu kwenye kiti (3hrs+) pia pale ambapo nimesimama mda mrefu (1hr+) kiasi kwamba ukitoka hapo huwezi hata kuinama.
Nimevumilia kwa miezi zaidi xa mitatu bila kutumia dawa yoyote juzi kati nikanunua za kuchua lkn hadi nimamaliza dozi hakuna matokeo mazuri.
Naombeni anajua dawa yoyote anijuze.
Nimevumilia kwa miezi zaidi xa mitatu bila kutumia dawa yoyote juzi kati nikanunua za kuchua lkn hadi nimamaliza dozi hakuna matokeo mazuri.
Naombeni anajua dawa yoyote anijuze.