Msaada wa matibabu ya binti aliyegongwa na gari ya BOT

nyembeason

Member
May 4, 2009
44
21
Wadau, Xray results ni kuwa mguu wa mdogo wetu, Mwanamiraji Hamisi, aliyegongwa na gari ya serikali, BOT, SU 36797, tarehe 24/06/2016 haujaunga na ana maambukizi (infeksheni). Anahitaji kuungwa UPYA kwa vyuma na operation kuondoa usaha (x ray reading). Gharama zake ni TZS 450,000/= hapa Morogoro referal hospital (kwa mujibu wa specialist wa mifupa). Kwa sasa tumefanikiwa kupata 170,000/= Asante Pascal Ntunda, Stanslaus Nyembea na Edwin Otaru. Matibabu yatafanyika kesho tukifanikiwa kupata kiasi tajwa. Wadau wengine tuungeni mkono....
 

Attachments

  • IMG_20170105_162834.jpg
    IMG_20170105_162834.jpg
    59.2 KB · Views: 25
Muhimu:; Pateni nakala ya hukumu muweze kuja Dai bima irudishe gharama zote za matibabu. Mnaweza hata kukopa bima ikawa collateral (dhamana)
 
Muhimu:; Pateni nakala ya hukumu muweze kuja Dai bima irudishe gharama zote za matibabu. Mnaweza hata kukopa bima ikawa collateral (dhamana)
Asante...tunakimbizana. Legal issues are well handled. Msingi hapa ni matibabu.....
 
Back
Top Bottom