Modem yangu ya wireless Internet aina ya Billion 800VGT haiwaki. Mwanzoni nilifikiria ni tatizo la adapter nikabadilisha lakini haikuwaka. Ninahisi ni tatizo ndani ya modem. Wadau wenye kujua mafundi wa vifaa kama hivi katikati ya Mji tuwasiliane kwa PM. Ahsanteni.