wandugu, mimi ni mjasiriamali niliejiajiri kwa biashara ya chokaa, hapa Tanga tunaitengeneza locally (ambayo ndio inahitajiwa zaidi) na baada ya hapo tunawauzia watu wa hapa hapa tanga wenye mashine za kuisaga ile chokaa then wao wanaisafirisha mikoani, nw nataka nipanue biashara yangu zaidi, kwa sasa nimeshaweka mipango yangu sawa ya kununua mashine ili niwe naisaga mwenyewe, tatizo sina uhakika wa masomo, sasa naomba msaada kama kuna mtu ambaye alishafanya biashara kama hiyo, lakini pia nikipata bei ya chokaa kwa inavyouzwa huko mikoani ili angalau nipate kupanua mawazo yangu zaidi