Wakuu naomba msaada wenu juu ya magodoro ni wapi ntapata godoro zuri original hapa dar.
Ama ni godoro aina gani ndiyo zuri lenye ubora .
Nilipokuwa mkoani nilikuwa natumia godoro la dodoma na lilikuwa bomba sana mpaka sasa nikirudi nalikuta lipo poowa sana.
Ila kwa hapa dar nishanunua mara mbili na yote ni feki nimeyatumia kwa mda mchache na yashachoka kwa sasa nikilalia napata sana maumivu ya mgongo.
Naomba msaada wenu wakuu ni vipi ntatambua kua godoro hili ni originol au ni wapi naweza kuyapata msaada wenu kabla sijaingia mkenge wa tatu.
Ama ni godoro aina gani ndiyo zuri lenye ubora .
Nilipokuwa mkoani nilikuwa natumia godoro la dodoma na lilikuwa bomba sana mpaka sasa nikirudi nalikuta lipo poowa sana.
Ila kwa hapa dar nishanunua mara mbili na yote ni feki nimeyatumia kwa mda mchache na yashachoka kwa sasa nikilalia napata sana maumivu ya mgongo.
Naomba msaada wenu wakuu ni vipi ntatambua kua godoro hili ni originol au ni wapi naweza kuyapata msaada wenu kabla sijaingia mkenge wa tatu.