Wakuu naomba kujuzwa ni mambo yapi yanahitajika katika comp(laptop) na ni simu yenye vigezo gani inahitajika ili niweze kukonect internet ya simu katika comp na je hiyo operation baada ya kukonect ni kama modem au tofaut naomba msaada wa maelezo hayo! Nawasilisha!
Wakuu naomba kujuzwa ni mambo yapi yanahitajika katika comp(laptop) na ni simu yenye vigezo gani inahitajika ili niweze kukonect internet ya simu katika comp na je hiyo operation baada ya kukonect ni kama modem au tofaut naomba msaada wa maelezo hayo! Nawasilisha!
unatakiwa uwe na cm yenye uwezo wa kuaccess internet vile vile uwe na software itakayokuwezesha kusync cm na pc kwa mfano.
Mim natumia cm ya nokia xpresmusic 5310 na huwa naconnect na pc kwa blutooth au usb kwa msaada wa nokia pc suite software.
unatakiwa uwe na cm yenye uwezo wa kuaccess internet vile vile uwe na software itakayokuwezesha kusync cm na pc kwa mfano.
Mim natumia cm ya nokia xpresmusic 5310 na huwa naconnect na pc kwa blutooth au usb kwa msaada wa nokia pc suite software.
Nokia ni rahisi sana,pc suite una install kwenye pc,cm na pc inabidi ziwe connected via bluetooth au cable,tatu run nokia pc suite kwenye desktop then ikisharun bonyeza connect to the internet basi unakula maisha,pc suite ni moja kwa nokia zote