Msaada wa maelekezo kufika TRC chang'ombe workshop

Msaada wa maelekezo kufika TRC chang'ombe workshop

Mabugamtundu

Member
Joined
Jun 3, 2021
Posts
15
Reaction score
8
Habari wana jf nimeitwa kwenye interview trc chang'ombe workshop.. nimefikia ubungo riverside, naombeni mwenye kupaelewa napanda gari la wapi na nashuka wapi mpaka nifike hapo workshop za shirika la reli chang'ombe? Ahsanten sana
 
Habari wana jf nimeitwa kwenye interview trc chang'ombe workshop.. nimefikia ubungo riverside, naombeni mwenye kupaelewa napanda gari la wapi na nashuka wapi mpaka nifike hapo workshop za shirika la reli chang'ombe? Ahsanten sana
Google inamaliza tatizo laki mkuu
 
panda gari za temeke -mbezi au mbAGALA -simu au mbagala mbezi shuka kituo cha usalama au serengeti halafu uulizi TRC workshop ingawa kwa uzoefu wangu kulikuwa na nyumba za relwe sijawahi kusikia TRC workshop
 
Workshop sindo ile iliyopo karibia na mataa ya veta pale penye ujenzi wa SGR au karibia na iliyokuwa wizara ya maliasili na utalii na mkuki mall
 
Back
Top Bottom