wakuu kumradhi naomba msaada niweze kutoa sleep timer kwenye tv tajwa hapo juu. tangu niinunue sina raha nayo, inakaa dakika kumi inajizima
. nimejaribu kwa rimot yake hata menu yake haileti, zaid inabadili channels, kuwasha na kuzima tv,kuongeza na kupunguza sauti basi. Natanguliza shukran.
. nimejaribu kwa rimot yake hata menu yake haileti, zaid inabadili channels, kuwasha na kuzima tv,kuongeza na kupunguza sauti basi. Natanguliza shukran.