Msaada wa kutoa lockscreen oppo r15

Msaada wa kutoa lockscreen oppo r15

kingkongtz

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2019
Posts
1,059
Reaction score
3,646
wakuu kwema,

Kuna dada hapa Ana oppo R15 ukiiwasha inakuletea uingize password,Sasa yy alisahau

nimejaribu kuformat inadai niingize password ,najua nitapata majibu sahihi hapa kama inawezekana au la.

Karibuni
 
Hapo mpaka box( dongle ) kama chipset yake ni Qualcomm..inatoka ila si kiurahisi hivyo, na wakati mwingine ni mpaka uunge testpoint! ( Nimekujibu ki utaalam zaidi so kama huna uzoefu na mambo hizo tafuta mafundi wabobezi.
 
Hapo mpaka box( dongle ) kama chipset yake ni Qualcomm..inatoka ila si kiurahisi hivyo, na wakati mwingine ni mpaka uunge testpoint! ( Nimekujibu ki utaalam zaidi so kama huna uzoefu na mambo hizo tafuta mafundi wabobezi.
Kumbe na wao wameanza ku shield ulinzi wao kwa kiwango kikubwa namna hiyo
Oppo msiwachukulie poa wana security kwenye cheap zao hatari sana sio rahiai kabisa kutoa kama mlivyozoea Tecno na infinix ......hapo awasiliane na oppo delar
 
Pole yake.
Natumia OPPO toka kipindi cha awali zitoke Tu. Bahati mbaya kabla hata sijamaliza siku mbili toka kuitumia,nikaweka password mfano buda2019 kumbe wakati wa kuweka na kuthibitisha password niliweka buda209. Kwa hiyo password kumbe ulikuwa buda209 na siyo buda2019.

Na siku hiyo nilinunua simu yangu na kuelekea home baada ya shughuli iliyonipeleka mjini kuisha, nikarudi zangu Shinyanga .

Dah,nikaulizia pale shinyanga wapi wanaflash simu, wakasema sijui Kwa mchina, mchina akashindwa.
Baadae ikawa inakuja text kuwa niwaone oppo Kwa msaada.
Ikabidi nirudi dar baada ya mwezi mmoja maana nilikuwa kikazi tena pande zile. Nikaenda pale nilipouziwa,wakasema hawana msaada wowote isipokuwa oppo wenyewe, nikaelekea ofisi zao pale posta,wakanisaidia kuiondoa
Ila sharti uwe na kasha la simu uliyonunulia na uwe na risiti ya manunuzi .

Hizi simu za hawa jamaa ziko protected Sana.
Huwezi ku flash mtaani
 
Back
Top Bottom