Msaada wa Kutengeneza App Dar au Moro

Msaada wa Kutengeneza App Dar au Moro

Dc.com

Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
88
Reaction score
51
Ninahitaji la kutengeneza App ya jambo fulani,. Pia kujua mtu anafaidikaje kwa kuwa na App

Nashukuru kwa msaada wenu
 
Haueleweki msaada upi unaohitaji sasa?
 
Ngoja nimshikie jowsey nafasi akuje akujibu
 
Unataka utengenezewe au utengeneze mwenyewe

Site kama appyet itakufaa kuanzia
 
Leta idea yako inbox nikiipenda nakutengenezea na kukusaidia jinsi ya kutengeneza pesa. Nisipoipenda itabidi utafute mwingine.
 
Ninahitaji la kutengeneza App ya jambo fulani,. Pia kujua mtu anafaidikaje kwa kuwa na App

Nashukuru kwa msaada wenu
Duh Mkuu mpaka unaingia uzi wa pili Hakuna hata aliyekusaidia zaidi ya kutwangwa maswali km kituoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom