Msaada wa kusoma kozi ya bodi ya ununuzi na ugavi(PSPTB)

Msaada wa kusoma kozi ya bodi ya ununuzi na ugavi(PSPTB)

AlexProsper

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
3,408
Reaction score
6,269
Habari za mda wakuu? Napenda kuuliza vigezo vipi vinatakiwa kujiunga na mitiani ya bodi ya ununuzi na ugavi kwa mtu mwenye elimu ya kidato cha nne ? Anaanza na hatua ipi? nawasilisha kwa msaada zaidi
 
Duuhw, Kwa nijuavyo mimi ili usome hiyo Kozi ya Bodi unatakiwa uwe ni Mhitimu wa Stashahada au shahada ys kozi husika ndio utaruhusiwa kusoma level nafikiri wanazijua wahusika zaidi sasa wewe na kidato cha 4 tu unataka usome huko HAPANa
 
Duuhw, Kwa nijuavyo mimi ili usome hiyo Kozi ya Bodi unatakiwa uwe ni Mhitimu wa Stashahada au shahada ys kozi husika ndio utaruhusiwa kusoma level nafikiri wanazijua wahusika zaidi sasa wewe na kidato cha 4 tu unataka usome huko HAPANa
Wana level zile za chini nahitaji kufahamu basic certificate ya psptb unaipateje , na vigezo vyake ni vipi,
 
MKUU ingia kwenye site yao Yani bodi ya manunuzi utakuta maelezo yao huko.
 
Habari za mda wakuu? Napenda kuuliza vigezo vipi vinatakiwa kujiunga na mitiani ya bodi ya ununuzi na ugavi kwa mtu mwenye elimu ya kidato cha nne ? Anaanza na hatua ipi? nawasilisha kwa msaada zaidi
Kwa Level ya Form Four nadhani utaanza na PD1 (Professional Dipolma One).

Ila kwa uhakika zaidi Ingia kwenye website ya Bodi, chukua contact then watwangie direct watakupa majibu yaliyonyooka zaidi
 
Kwa Level ya Form Four nadhani utaanza na PD1 (Professional Dipolma One).

Ila kwa uhakika zaidi Ingia kwenye website ya Bodi, chukua contact then watwangie direct watakupa majibu yaliyonyooka zaidi
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom