Kama U amiliki Blog na unahitaji iwe approved na Adsense zingatia yafuatayo.
1. Lugha, Adsense wana lugha zai ambazo wanahitaji uzutumie kwenye uandikaji wa contents zako. Note kiswahili hakipo katika lugha ambazo Adsense wanazikubali. Hakikisha hakuna content ya kiswaili wakati unaapply Adsense.
2. Copyright, hakikisha content unazoweka kwenye blog/site yako haina content ambazo umecopy na kupaste kutoka kwa site nyingine, google inatambua kabisa kuwa content hii imetolewa sehem nyingine. Hakikisha unapochukua content za mwingine zibadilishe, edit katika mfumo ambao ztakuwa hazina 100% ya ufanano.
3. Hakikisha unaweka pages muhimu katika site yako. Mfano About page, Contact us, Terms of Use, Privacy Policies. Kama hauwezi namna ya kuandaa Terms of Use na Privacy Policies nambie ntakupa link ya Tool ambayo utaenda ugenerate za kwako automatic.
3. Duration. Sometimes huwa wanataka atleast uwe umefanya zaidi ya miezi sita, ila kigezo hiki hakina nguvu sana kwa sabab kuna watu wanakuwa approved ndan ya mwezi mmoja hadi miwili.
4. Kabla hujaaply Tengeneza content angalau Post 20 zenye content nzuri, kama ni picha nzuri, .
Nikutakie kila la heri Uliza chochote ntakujibu kwa uzoefu wangu, maana mm ni mnufaika wa Adsense, imewahi kunitoa pabaya katika maisha.