Msaada wa kuset 3/4g katika sony xperia z4

Msaada wa kuset 3/4g katika sony xperia z4

Ramso11

Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
62
Reaction score
22
Naombeni msaada wa jinsi ya kuset 3g kwa mtandao wa airtel, nimeperuzi katika internet ila sijafanikiwa kupata jibu sahihi
 
Z4 ni simu moja adimu sana haikuwa released dunia nzima. Umeshaicheki kama sio mchina?
 
Naombeni msaada wa jinsi ya kuset 3g kwa mtandao wa airtel, nimeperuzi katika internet ila sijafanikiwa kupata jibu sahihi

Nenda katika Network settings mara Nyingi Settings>>>>>More>>>>>Mobile Networks>>>>Network Mode

then set WCDMA Only Kwa 3G au LTE Only kwa 4G

Mind you Bands za simu zita matter sana hapo sina uzoefu na hii simu ila google search results ziko hivo

1362586669-large.png
 
Unatumia line gani? Coz proxy zinapishana japo unaweza kuziacha blank na ikawa fresh tu. ni mtandao gani unatumia?
 
natumia airtel ila kwenye network setting unakuta kuna preffered network type na ipo faint huwezi kuselect na kwenye APN ukienda kuna sehemu ya Bearer na option zake ni LTE, eHRPD , Unspecified. nimeshindwa kuelea zina kazi gani.
 
ukiandika inakataa alama moja inafuta # kabla ya ya 7 ya mwanzo.
 
Z4 ni simu moja adimu sana haikuwa released dunia nzima. Umeshaicheki kama sio mchina?
Kuna jamaa zangu sio wazoefu wa simu, walinunua z4 mchina... Zina 2g na 4g tu.. Simu zinakera ni hamna.... Unachofaidi ni screen kubwa na umbo la simu!

Sasa hivi kuna Sony nyingi fake zipo sokoni, na ni fake haswa...!
 
ok nashukuru sana kwa kunisaidia kulijua hilo, hata mim nilikua na wasiwasi huo, katika internet
 
Kuna jamaa zangu sio wazoefu wa simu, walinunua z4 mchina... Zina 2g na 4g tu.. Simu zinakera ni hamna.... Unachofaidi ni screen kubwa na umbo la simu!

Sasa hivi kuna Sony nyingi fake zipo sokoni, na ni fake haswa...!

nilikuwa maeneo fulani kkoo nikawaskia wanaambiana mzigo umeingia na kibaya zaidi wanazinunua around 90,000 tu.
 
Chief-Mkwawa nina budget ya around 150K ninahitaji simu...ni simu gani nzuri unapendekeza kwa hiyo budget?
nilikuwa maeneo fulani kkoo nikawaskia wanaambiana mzigo umeingia na kibaya zaidi wanazinunua around 90,000 tu.
 
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa nina budget ya around 150K ninahitaji simu...ni simu gani nzuri unapendekeza kwa hiyo budget?

kwa 2015 hakikisha simu yako ni 64bit na pia ina 4g.


hapo ongeza kidogo tafuta simu kama huawei y550 utapata simu nzuri tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom