Msaada wa kuremove icloud kwenye iphone 5s

Msaada wa kuremove icloud kwenye iphone 5s

Kama simu inatumika icloud inatoka vizuri tu karibu sana mkuu.

Kama hiyo iphone yako ina passcode na huzijui rudisha tu ulikoitoa lakini kama inatumika kama kutuma msg, call, icloud inatoka vizur tu bila shida.

Sasa kama anaitumia unadhani kwanini atake kuitoa?
 
Back
Top Bottom