Msaada wa kuremove icloud kwenye iphone 5s

Msaada wa kuremove icloud kwenye iphone 5s

Icloud inatoka lakini ni bei sana kwa hivyo ninashauri kuanzia iphone six ndiomtu ahangaike kuitoa lakini five kushika chini ni nora ununue mpya...natoa icloud kwa simu zenye clean imei unaweza ukanicheki pm.
 
Icloud inatoka lakini ni bei sana kwa hivyo ninashauri kuanzia iphone six ndiomtu ahangaike kuitoa lakini five kushika chini ni nora ununue mpya...natoa icloud kwa simu zenye clean imei unaweza ukanicheki pm.
Utajuaje kama ina clean imei????
 
Asaiv me naona kuna watu sikuiz sim yenye hadhi yake kama IPhone wanajarbu kuifananisha na taka taka kama Tecno....

Aseeh.... Huu ni ujinga Apple sio kampuni ya kipuuzi puuzi kabisa..... Kutoa iCloud bado ni kitendawili dunia nzima, kama ilivo kupata dawa ya janga la Ukimwi miaka nenda rudi.....
 
Haiwezekani nenda apple store usisahau kwenda na vitu vifuatavyo box ulilonunulia,list,headphone zake,charge,
 
Kama simu inatumika icloud inatoka vizuri tu karibu sana mkuu.

Kama hiyo iphone yako ina passcode na huzijui rudisha tu ulikoitoa lakini kama inatumika kama kutuma msg, call, icloud inatoka vizur tu bila shida.

Acha kumpa matumaini ya uongo, in arudishe ilikoibiwa kabla ya kupelekwa jela
 
rudisha simu ya watu......haraka sana
 
Ha ha ha ha niuzie mm bhana nmpe mtoto achezeee
 
Back
Top Bottom