Jr Magwila
Member
- Oct 31, 2017
- 11
- 6
Naomba kuelekezwa jinsi ya kupiga window, napata wateja wengi wakiamini naweza kufanya ila siwezi. Sina ujuzi na hii ishu, now nahitaji kubobea sana. nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app