Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,437
- 46,187
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,nina shida sana na hii Tamthiliya ya La Revenge iliyotikisa Bongo miaka kadhaa iliyopita,mwenye nayo au kujua jinsi ya kuipakua aniambie.
mjomba si kanunue CD tu bana, au unataka za kudownload!