Jumaa gosso
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 188
- 127
Habari wana JF......
Kuna tatizo kwenye simu yangu ambayo nimeireboot baada ya kuireboot inataka google account ya zamani ila nimeingiza email lakini password nimezisahau na siwezi kuona mafail mpaka niweke google account ya zamani ndo simu yangu irudi katika hali ya kawaida naombeni msaada wenu jinsi ya kulitatua hili tatizo.
Jinsi inavyokuwa ndo hivyo siwezi kufany chochote
Mwenye maujanja msaada plz
Kuna tatizo kwenye simu yangu ambayo nimeireboot baada ya kuireboot inataka google account ya zamani ila nimeingiza email lakini password nimezisahau na siwezi kuona mafail mpaka niweke google account ya zamani ndo simu yangu irudi katika hali ya kawaida naombeni msaada wenu jinsi ya kulitatua hili tatizo.
Jinsi inavyokuwa ndo hivyo siwezi kufany chochote
Mwenye maujanja msaada plz