Msaada wa kupata maombezi

Msaada wa kupata maombezi

TheGodfather95

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
1,763
Reaction score
1,834
Wakuu salama..

Bila kupoteza mda kijana wenu na matatizo makubwa sio kwamba naumwa no niko mzima Wa afya.

Tatizo nalopitia ni kufanya mambo yanakwama kila napojitahidi nakwama kama kijana ambaye na ndoto nyingi hii hali inanitatiza na kunifanya nijihisi mnyonge.

Binafsi nimejaribu washirikisha watu tofauti juu ya hili na wakanipa njia za kupita ila kabla ya kupita huko nimeona kwanza nipige goti kwa muumba.

Naomba msaada wa mtu anayejua mchungaji anaye ombea watu wenye matatizo mbalimbali ili niondokane na kifungo hiki...

NB:nipo Dar es salaam mwenye msaada naomba ni PM.
 
Imani yako ikoje?? Usije hangaisha watu wakuombee kumbe una imani haba mkuu, na pia funga na kuomba kwa dhati Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa muda autakao na ambao ni sahihi kwako, kazana kupambana usikate tamaa amini ipo siku milango ya riziki itafunguka
 
Wakuu salama..

Bila kupoteza mda kijana wenu na matatizo makubwa sio kwamba naumwa no niko mzima Wa afya.

Tatizo nalopitia ni kufanya mambo yanakwama kila napojitahidi nakwama kama kijana ambaye na ndoto nyingi hii hali inanitatiza na kunifanya nijihisi mnyonge.

Binafsi nimejaribu washirikisha watu tofauti juu ya hili na wakanipa njia za kupita ila kabla ya kupita huko nimeona kwanza nipige goti kwa muumba.

Naomba msaada wa mtu anayejua mchungaji anaye ombea watu wenye matatizo mbalimbali ili niondokane na kifungo hiki...

NB:nipo Dar es salaam mwenye msaada naomba ni PM.
 
Imani yako ikoje?? Usije hangaisha watu wakuombee kumbe una imani haba mkuu, na pia funga na kuomba kwa dhati Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa muda autakao na ambao ni sahihi kwako, kazana kupambana usikate tamaa amini ipo siku milango ya riziki itafunguka
Ushauri Mzuri.
 
Wakuu salama..

Bila kupoteza mda kijana wenu na matatizo makubwa sio kwamba naumwa no niko mzima Wa afya.

Tatizo nalopitia ni kufanya mambo yanakwama kila napojitahidi nakwama kama kijana ambaye na ndoto nyingi hii hali inanitatiza na kunifanya nijihisi mnyonge.

Binafsi nimejaribu washirikisha watu tofauti juu ya hili na wakanipa njia za kupita ila kabla ya kupita huko nimeona kwanza nipige goti kwa muumba.

Naomba msaada wa mtu anayejua mchungaji anaye ombea watu wenye matatizo mbalimbali ili niondokane na kifungo hiki...

NB:nipo Dar es salaam mwenye msaada naomba ni PM.
NENDA KWA MWAMPOSA, KESHO ANAMAOMBEZI PALE KAWE VIWANJA VYA T.PACKERS. YOTE YATAKWISHA.
 
Imani yako ikoje?? Usije hangaisha watu wakuombee kumbe una imani haba mkuu, na pia funga na kuomba kwa dhati Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa muda autakao na ambao ni sahihi kwako, kazana kupambana usikate tamaa amini ipo siku milango ya riziki itafunguka
Mkuu imani ninayo hujui tu nimevumilia vikwazo vingi kila nikija ivi nafeli....
 
Wakuu salama..

Bila kupoteza mda kijana wenu na matatizo makubwa sio kwamba naumwa no niko mzima Wa afya.

Tatizo nalopitia ni kufanya mambo yanakwama kila napojitahidi nakwama kama kijana ambaye na ndoto nyingi hii hali inanitatiza na kunifanya nijihisi mnyonge.

Binafsi nimejaribu washirikisha watu tofauti juu ya hili na wakanipa njia za kupita ila kabla ya kupita huko nimeona kwanza nipige goti kwa muumba.

Naomba msaada wa mtu anayejua mchungaji anaye ombea watu wenye matatizo mbalimbali ili niondokane na kifungo hiki...

NB:nipo Dar es salaam mwenye msaada naomba ni PM.

Pole sana mwanangu. Mungu akufungulie milango iliyofungwa katika Jina la Yesu. Nenda ibadani na umwabudu Mungu katika Jina la Yesu, uwasaidie wahitaji bila kusahau kutoa fungu la kumi.
 
Kimbia kivule matembele ya pili WRM Prophet Suguye
 
Mkuu imani ninayo hujui tu nimevumilia vikwazo vingi kila nikija ivi nafeli....
Vikwazo n kipimp cha imani yako na akili yako, mafanikio hayaji kwa kuteremka tu kuna milima mabonde mvua na jua dhiki na faraja stahmili kua na heshima na mwenendo wa maisha yako, usisahau Mungu ndio muumba wa vitu vyote na ameshamkadiria kila mja wake riziki yake had pale amal au matendo yake yatakapokatika na kuondoka duniani, binadam tuna haraka sana wewe unataka ufanikiwe sababu umepambana kwa mwaka tu mfano wengine wanahangaika miaka na miaka na bado hawakat tamaa, hold on Allah isnt finished with you yet, have faith kila jambo litakaa sawa.
 
Vikwazo n kipimp cha imani yako na akili yako, mafanikio hayaji kwa kuteremka tu kuna milima mabonde mvua na jua dhiki na faraja stahmili kua na heshima na mwenendo wa maisha yako, usisahau Mungu ndio muumba wa vitu vyote na ameshamkadiria kila mja wake riziki yake had pale amal au matendo yake yatakapokatika na kuondoka duniani, binadam tuna haraka sana wewe unataka ufanikiwe sababu umepambana kwa mwaka tu mfano wengine wanahangaika miaka na miaka na bado hawakat tamaa, hold on Allah isnt finished with you yet, have faith kila jambo litakaa sawa.
Aksante Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom