Naomba msaada mwenye joining instruction ya chuo cha Institute of Rural Development Planning - Mwanza anisaidie maana nimeenda selfom kwenye post za advanc na vyuo sijafanikiwa kuipata.
Sehemu ya chuo ukiingia inakutaka uingize namba ya shule na namba ya mtihani ya mwanafunzi na hapo chini kunakuwa na maneno ambayo unatakiwa kuingiza yanakuwa hajayapangwa vizuri ukiingiza itakupa mwongozo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.