paparazimkuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,089
- 1,438
.
Duh!!!!! Aya mi ndio yanayonishindaga ayaNilivoenda kwenye tawi lao sehemu ya masharti walionipa ni:
1 niwe dereva au mmiliki wa bodaboda /bajaj au niwe muajiriwa (serikalini au taasisi binafsi).
2. Uwe na uwezo wa kulipia 20% ya gharama ya chombo unachohitaji (mkopo watakupa 80% ya bei ya chombo hicho, wewe ulipie ile 20% inayobaki)
3. Bima ya chombo utakata kwao.
4. Mengine nimeyasahau.
Kama vipi tembelea kwenye tawi lao utapewa maelekezo zaidi.
Waone NMBMimi ni dereva kwa maana hata leseni ninayo na hiyo asilimia 20 pia ninayo shida iko kwenye kukata bima sijajua bei gani? Na je ni lazima niwe na akaunti katika benki yao ndio nipewe mkopo au naweza kwenda bila akaunti halafu nikafungua siku ambayo napewa mkopo?
Mimi ni dereva kwa maana hata leseni ninayo na hiyo asilimia 20 pia ninayo shida iko kwenye kukata bima sijajua bei gani? Na je ni lazima niwe na akaunti katika benki yao ndio nipewe mkopo au naweza kwenda bila akaunti halafu nikafungua siku ambayo napewa mkopo?
Kua dereva kwa maana uwe na leseni sio..Nilivoenda kwenye tawi lao sehemu ya masharti walionipa ni:
1 niwe dereva au mmiliki wa bodaboda /bajaj au niwe muajiriwa (serikalini au taasisi binafsi).
2. Uwe na uwezo wa kulipia 20% ya gharama ya chombo unachohitaji (mkopo watakupa 80% ya bei ya chombo hicho, wewe ulipie ile 20% inayobaki)
3. Bima ya chombo utakata kwao.
4. Mengine nimeyasahau.
Kama vipi tembelea kwenye tawi lao utapewa maelekezo zaidi.