Msaada wa kuondoa marafiki 5000 Facebook

Msaada wa kuondoa marafiki 5000 Facebook

Kila ukipata muda unfrend walau watu kumi
Baada ya mwezi utakua umewamaliza 😂😂

Njia rahisi Funga acc
Fungua nyingine
 
Ipo Ila Ni very very complicated na ukizingua kidogo wanaiblock
 
Facebook Kuna Mambo Sana Idadi Hiyo Mnawasiliana
Ana Ukiombwa Urafiki Unakubali Tu
 
Every day Facebook brings you notification of people celebrating their birthdays. If you unfriend all of them each day, by 365 days you will be having zero friends
 
Every day Facebook brings you notification of people celebrating their birthdays. If you unfriend all of them each day, by 365 days you will be having zero friends
Nataka niwe na ziro friend.Nifanyeje?

Nataka nibaki na groups tuu!!! Friends 0
 
Back
Top Bottom