Habarini wakuu, Mimi nimekumbwa na dhahama ya huyo mdudu Ni wiki mbili sasa zimepita. Nimejaribu kurestore PC ILA hakuna nafuu yoyote, Natumia Windows 10(64bit) na built in antivirus(ambayo naona imeacha fanya kazi baada ya kushambuliwa na huyo virus.
Kwa ufupi video,docs, hazifunguki. Hivyo naomba msaada jinsi ya kufanya niweze kupata data zangu.
Kwa ufupi video,docs, hazifunguki. Hivyo naomba msaada jinsi ya kufanya niweze kupata data zangu.