Ndugu hapo naona kabisa kuna jambo linalosababisha kukwama na afadhali umeliona mapema. Mimi nimekuwa na uzoefu huo kwa miaka mingi sana licha ya kuwa na fedha nzuri za miradi niliwekeza kwa miaka saba lakini hakuna matokeo yoyote na hata baada ya kumaliza elimu kubwa ngazi ya udaktari (PHD) bado kazi haikupatikana kwa mwaka na nusu. Nilikuwa nikiomba Mungu kila wakati na mwaka huu mwanzoni Mungu alituma waombaji na kuniombea pamoja na familia yangu yote na baada ya wiki 3 tu niliitwa kwenye usaili na baada ya wiki 4 hivi nikaitwa kwenye usaili ya kazi kutoka Marekani lakini inafanyikia kusini mwa Africa. Mambo yangu mengi yalikwama ikiwa ni pamoja na migogoro katika kila ardhi niliyonunua!
Hivi sasa naandaa safari na kwenda kazini na kazi yenyewe ni nzuri na yenye kulipa mshahara zaidi ya anaopata waziri hapa Tz. Nasema Bwana YESU asifiwe!
Nakushauri mpendwa kwanza usiombewe na shekhe, utapoteza muda wako, pili hata kwa huyo Geo Davie ni uzushi tu nafikiri anatumia nguzu za kipepo na sio mtumishi wa Mungu aliye hai. Nitakupatia number ya watumishi wa Mungu wakuombee ulipo, kama upo Moshi au Arusha watakuja hadi nyumbani kwako wape nauli tu. Kama upo mbali na Moshi basi mtaongea kwa simu na mambo yatakwenda sawa. Tafadhali wasiliana na namba hizi na uwaeleze matatizo yako wapo Moshi Masama. 0656491487 Kuwa na imani Mungu atatenda yote kwa kupitia Yesu Kristo Mwokozi wetu. Ubarikiwe.