Msaada wa kukutana na Chaaba na Dudukwe

Msaada wa kukutana na Chaaba na Dudukwe

20250716_075612.jpg
 
Hakika kwakuwa kwa sasa hao jamaa content zao zinaingiza pesa Sana Ila wao hawajui Serikali ingetumia akili kuwalinda Kama vivutio vingine na wakawa wanakuwa benefited kupitia watalii wanaokuja kuwaona
Tatizo jamaa maisha yao hawaitaji pesa
 
Kwa namna haya mqmbo yanaenda ni kama tunasahau kuwa tuna wajibu wa kulinda jamii adimu zinazoishi maisha ya kale.

Viongozi wenye dhamana watafakari sana endapo yataibuja madai dhidi ya hila ya kuangamiza asili ya jamii hizi haya mambo hayatasikiliziwa hapa kwetu na yataenda kwa mtu binafsi mwenye dhamana

A humble reminder labda watu wenu wa kutafsiri sheria hamjawazingatia au labda hawajawaambia.

KIla la heri
 
Kwa namna haya mqmbo yanaenda ni kama tunasahau kuwa tuna wajibu wa kulinda jamii adimu zinazoishi maisha ya kale.

Viongozi wenye dhamana watafakari sana endapo yataibuja madai dhidi ya hila ya kuangamiza asili ya jamii hizi haya mambo hayatasikiliziwa hapa kwetu na yataenda kwa mtu binafsi mwenye dhamana

A humble reminder labda watu wenu wa kutafsiri sheria hamjawazingatia au labda hawajawaambia.

KIla la heri
Hii jamii ipe miaka 10 tu ijayo itakuwa kama wengine maana tuna viongozi wasiokuwa na maono.

Mtu anawatoa porini anawapeleka hotelini kula vyakula tofuti kabisa na walivyozoea unatgemea nni?
Serikali ipo ila imelala ipo macho kupiga dili tu
 
Back
Top Bottom