msaada wa kuitumia simu kama modem

msaada wa kuitumia simu kama modem

mie natumia nokia n73,ni nzuri sana,isipokuwa inakula sana charge.Lazima uunganishe na usb cable yake na wakati huo umeunganisha kwenye charge ya umeme.
 
Mi natumia blackberry kama moderm, naunganisha na cable! Swali je haina madhara kwenye simu? maana mi nikiunganisha cable, simu inaanza kucharge
 
Kwa nokia yyt tumia nokia pc suite. install kwny pc yako then connect cable kwa cm yako na pc. pc itadetect hiyo cm na utakwenda kuconnect pale kwenye tab ya data connection kwenye Nokia pc st

Ahsante sana mkuu nimefanikiwa
 
mie natumia nokia n73,ni nzuri sana,isipokuwa inakula sana charge.Lazima uunganishe na usb cable yake na wakati huo umeunganisha kwenye charge ya umeme.

Ndugu hizi N series karibu zote hazitunzi chaji kwa muda mrefu.Ni simu nzuri tatizo chaji haikai
 
mie natumia nokia n73,ni nzuri sana,isipokuwa inakula sana charge.Lazima uunganishe na usb cable yake na wakati huo umeunganisha kwenye charge ya umeme.

Ndugu hizi N series karibu zote hazitunzi chaji kwa muda mrefu.Ni simu nzuri tatizo chaji haikai
 
What about blackberry mkuu? Tupe ufafanuz


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
about balckberrry unatakiwa udownload latest version ya Blackberry desktop software(au manager) ukishainstall unaconnect simu yako via USB the pale chini kushoto kwenye BDM(Blackberry Desktop Manager) kumeandikwa connect to internet unaclick hapo..but before clicking inatakiwan uwe umeset APN settings za mtandao unaotumia..kwa airtel unaandika neno internet kwa herufi ndogo then unasave ukiconnect kama upo mjini na simu yako ni standard kwa speed,utainjoi mpaka noma..tigo na voda APN zao zinapatikana kwa website zao
 
Back
Top Bottom