Msaada wa kuingia JWTZ

Msaada wa kuingia JWTZ

Joined
Apr 5, 2023
Posts
25
Reaction score
59
Habari wakuu, heshima kwenu wakubwa kwa wadogo

Najua humu kuna watu wa kila aina wenye kufahamiana na watu wa kada mbalimbali mnaoweza kuwa msaada kwangu siku zijazo

Mimi ni mtanzania kutoka kanda ya ziwa mwenye miaka 27 na Medical Doctor naomba mwenye connection za kusaidia kuingia JWTZ anisaidie, nina ndoto ya kutumika huko nmejaribu mara moja kuomba haikuzaa matunda, japo nafasi hazijatoka kwa sasa lakini kwa anayeweza kuwa kiunganishi kwangu tukiwa tunasubiria nafasi zitoke ntashukuru na ntamshika mkono kwa shukrani pia

Thanks in advance.
 
Njoo PM na 400k ya bia kwanza
Kama una taka FFU bei ita pungua
 
Habari wakuu, heshima kwenu wakubwa kwa wadogo

Najua humu kuna watu wa kila aina wenye kufahamiana na watu wa kada mbalimbali mnaoweza kuwa msaada kwangu siku zijazo

Mimi ni mtanzania kutoka kanda ya ziwa mwenye miaka 27 na Medical Doctor naomba mwenye connection za kusaidia kuingia JWTZ anisaidie, nina ndoto ya kutumika huko nmejaribu mara moja kuomba haikuzaa matunda, japo nafasi hazijatoka kwa sasa lakini kwa anayeweza kuwa kiunganishi kwangu tukiwa tunasubiria nafasi zitoke ntashukuru na ntamshika mkono kwa shukrani pia

Thanks in advance.
Hahaha ngoja waje Uko wazee mataperi hizo inshu mtafute ndugu yako yoyote alieko kwenye mfumo atarahisisha hilo..
 
Back
Top Bottom