Msaada wa kufungua SIMU

Msaada wa kufungua SIMU

mkuu, simu nyingine aina ya samsung s2 imefungwa, IMEI yake inaanza na 049. Je hii simu inaweza kuwa feki kweli mpaka kufungwa na TCRA au tatizo ni hio IMEI tu? naomba mwongozo
Imea fake hiyo imei huaanza na 35.....
 
Habari za Leo wana JF
Naomba kusaidiwa kuifungua SIMU yangu aina ya Vodafone 200

Imeandika kwenye screen maandishi haya hapa chini

SIM network unlock PUK

Naomba msaada wenu wataalamu
Natanguliza shukrani

Mungu awabariki.


Laini Yako Imejiblock Nenda Kairenew
 
Wasiliana na vodacom kupitia simu nyingine tatizo dogo hilo
 
Back
Top Bottom