Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Salaam
Nilinunua Iphone 6 cha mkononi, yumkini niliweka Icloud na bahati mbaya simu ikakorofisha, kuoeleka kwa fundi akaifrimat na ikaanza kuniuliza nywila ya Icloud
Nimehangaika hadi kwa aliyeniuzia lakini imeshindwa kufungua ni ninayi kama UREMBO TU
Tafadhali mwenye ushauri wa jinsi ya kuifungua ama ambaye ameoitia uzoefu huu anisaidie
shukrani sana
Nilinunua Iphone 6 cha mkononi, yumkini niliweka Icloud na bahati mbaya simu ikakorofisha, kuoeleka kwa fundi akaifrimat na ikaanza kuniuliza nywila ya Icloud
Nimehangaika hadi kwa aliyeniuzia lakini imeshindwa kufungua ni ninayi kama UREMBO TU
Tafadhali mwenye ushauri wa jinsi ya kuifungua ama ambaye ameoitia uzoefu huu anisaidie
shukrani sana