Ungelilaza na hilo jingine yawe level in rahisi.
Jamani mi nina shida moja ambayo ningeomba wanajamvi wenzangu kama kuna mwenye ufahamu anisaidie
nina mtoto mmoja ambaye ana umri wa miaka minne now, matiti yangu ni madogo kiasi ila mwonekano wa matiti yangu kwa sasa tokea nijifungue yamekuwa yakitofautiana kwa size.
Moja likiwa limelegea na lingine likiwa liko imara kama lilivyokuwa kabla sijazaa, sasa huu mwonekano wa matiti yangu haunifurahishi kabisa ningeomba mwenye kujua nini cha kufanya au kama kuna dawa ya kutumia nitumie ili angalau maziwa yangu yawe level moja yote yasimame mi sipendi maziwa yaliyolala.
Asanteni kwa ushauri
mmh... kamata fulsa, twenzetu!!!!nicheck inbox +255653660669
unataka yasimame yana Miguu lakini?Jamani mi nina shida moja ambayo ningeomba wanajamvi wenzangu kama kuna mwenye ufahamu anisaidie
nina mtoto mmoja ambaye ana umri wa miaka minne now, matiti yangu ni madogo kiasi ila mwonekano wa matiti yangu kwa sasa tokea nijifungue yamekuwa yakitofautiana kwa size.
Moja likiwa limelegea na lingine likiwa liko imara kama lilivyokuwa kabla sijazaa, sasa huu mwonekano wa matiti yangu haunifurahishi kabisa ningeomba mwenye kujua nini cha kufanya au kama kuna dawa ya kutumia nitumie ili angalau maziwa yangu yawe level moja yote yasimame mi sipendi maziwa yaliyolala.
Asanteni kwa ushauri
Jamani mi nina shida moja ambayo ningeomba wanajamvi wenzangu kama kuna mwenye ufahamu anisaidie
nina mtoto mmoja ambaye ana umri wa miaka minne now, matiti yangu ni madogo kiasi ila mwonekano wa matiti yangu kwa sasa tokea nijifungue yamekuwa yakitofautiana kwa size.
Moja likiwa limelegea na lingine likiwa liko imara kama lilivyokuwa kabla sijazaa, sasa huu mwonekano wa matiti yangu haunifurahishi kabisa ningeomba mwenye kujua nini cha kufanya au kama kuna dawa ya kutumia nitumie ili angalau maziwa yangu yawe level moja yote yasimame mi sipendi maziwa yaliyolala.
Asanteni kwa ushauri
Mbona simple tuu dada angu, zaa mtoto mwingine alafu uwe unamnyonyesa sana hilo lililosimama, yatakuwa level kama barabara ya lami
Mbona simple tuu dada angu, zaa mtoto mwingine alafu uwe unamnyonyesa sana hilo lililosimama, yatakuwa level kama barabara ya lami